William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Unajua inafurahisha sana tunapomng'ang'ania msanii na mbabaishaji, I mean kila kona ya JF ina Mama Kilango what a msanii? Je ina maana JF tumeshuka kiwango kiasi hiki cha kumjadili msanii mmoja tu kila kukicha?
- Uwanja mkubwa kama huu kumjadili kiongozi mmoja tu tena mbabaishaji na msanii, tena ni mbunge tu mbona naona kama tunamjenga sana, au?
Respect.
FMEs!
Mie nilisha wahi kusema kwamba CCM hakuna mpambanaji wala mpiganaji . Nilitegemea Wapinga mafisadi wa CCM ama wapambanaji wangalikuwa wanaombea Upinzani uwe na wabunge wengi Bungeni ili Bunge liwake moto na kuibana serikal juu ya maendeleo ya watanzania na kupinga rushwa kumbe hakuna kitu .