William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Unajua inafurahisha sana tunapomng'ang'ania msanii na mbabaishaji, I mean kila kona ya JF ina Mama Kilango what a msanii? Je ina maana JF tumeshuka kiwango kiasi hiki cha kumjadili msanii mmoja tu kila kukicha?
- Uwanja mkubwa kama huu kumjadili kiongozi mmoja tu tena mbabaishaji na msanii, tena ni mbunge tu mbona naona kama tunamjenga sana, au?
Respect.
FMEs!
- Uwanja mkubwa kama huu kumjadili kiongozi mmoja tu tena mbabaishaji na msanii, tena ni mbunge tu mbona naona kama tunamjenga sana, au?
Respect.
FMEs!