Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka viatu vya mwanjelwa hapo unasema wana JF?Sawa mkuu sema wanaJF wanaohusika na iyo ishu watakusaidia
Aah hapo sawaNipo nje kidgo na mbeya mjin mkuu, nipo Tukuyu
Bei ya mkungu inatofautiana kutokana na ukubwa ila inarange kutoka tsh 5000 to 15000, nauli n 5000 kwamkungu
Nipo nje kidgo na mbeya mjin mkuu, nipo Tukuyu
Chadema ikishika nchi sio kwa Hawa wapumbavuKama matoke ya Uganda yanaliwa kila siku Stockholm na London, hizi ndizi zinaweza kufika Dar na Nairobi kukiwa na mipango mizuri.
Tukuyu sehemu gani ntandabala ibutu kasyeto masoko ngaseke ibutu mpunguti pakanselo au wapi?Nipo nje kidgo na mbeya mjin mkuu, nipo Tukuyu
[emoji28][emoji28]mkuu unataka made in mbeya utavaa kweli?Nataka viatu vya mwanjelwa hapo unasema wana JF?
No mtumba wao mkali mkuu[emoji28][emoji28]mkuu unataka made in mbeya utavaa kweli?
Kama unatumia uaminifu nitumie mzigo ukifika nakutumia hela.Habari wanna JF.
Sisi n wasambazaji wa mazao mbalimbali kwaajili ya biashara sehemu mbalimbali tz bara, tuliamua kufanya hii kazi ili kuwarahisishia wafanya biashara mbalimbali kujipatia mazao wanayoyahitaji kwaajili ya biashara zao yanayopatikana huku RUNGWE mbeya kwagharama nafuu sana tena mzigo unakufikia sehemu ulipo kwa uhakika sana, pia tunafanya hivi ili kuwasaidia wateja wetu kuepukana na safari nyingi za kufuata mzigo wenyewe hasa kipindi hiki ambacho maambukizi ya ugonjwa wa COVD19 yanaongezeka kwakasi sana.
Mazao tunayosambaza ni kama yafuatayo; ndizi aina mbalimbali kwaajili ya matumizi ya familia pia kwaajili ya biashara, tangawizi kiasi chochote, Maziwa mtindi na Kahawa n.b iliyotok shamban.
Corona inaua tufuate taratibu za afya. stay saf, fanya biashara yako bila kuathili afya yako. Tuna connections mbalimbali za madreva wa magari wanaosafirisha mizigo mikoa mbalimbali
Kwamawasiliano Zaid 0782284770 piga au tum text Whatsapp
Ahsante
View attachment 1878654
View attachment 1878657
View attachment 1878659
View attachment 1878661
View attachment 1878662
Hii haitoshi Mana kila mtu anaweza akaitengeneza
Hiyo nauli ni kwa mzigo wote au mkungu mmoja?Bei ya mkungu inatofautiana kutokana na ukubwa ila inarange kutoka tsh 5000 to 15000, nauli n 5000 kwamkungu