Karibu tukupaulie nyumba yako

Karibu tukupaulie nyumba yako

Hii nyumba imekula gharama kiasi gani kuipaua?
Naomba niweke makadirio yake hapa kama ifuatavyo.

1: HATUA YA MBAO
1_001-3.jpg
2_001-4.jpg


3_001.jpg

5_001.jpg


Mbao zinauzwa kwa futi hivyo tumefanya mahesabu kwa futi na kuweka idadi ya futi.

2: HATUA YA BATI
Bati iliyotumika inaitwa BRICK RED ROYAL VERSERTILE ROOFING SHEET kutoka ALAF.

6_001.jpg
7_001.jpg
8_001-1.jpg
9_001.jpg


Hayo ndiyo yalikuwa makadirio ya jengo hilo na yalienda kwa ukamilifu.
 

Attachments

  • 5_001.jpg
    5_001.jpg
    46.7 KB · Views: 8
  • 4_001.jpg
    4_001.jpg
    105.7 KB · Views: 8
  • 3_001.jpg
    3_001.jpg
    90.5 KB · Views: 8
  • 4_001.jpg
    4_001.jpg
    105.7 KB · Views: 9
Naomba niweke makadirio yake hapa kama ifuatavyo.

1: HATUA YA MBAO
View attachment 2360078View attachment 2360079

View attachment 2360098
View attachment 2360100

Mbao zinauzwa kwa futi hivyo tumefanya mahesabu kwa futi na kuweka idadi ya futi.

2: HATUA YA BATI
Bati iliyotumika inaitwa BRICK RED ROYAL VERSERTILE ROOFING SHEET kutoka ALAF.

View attachment 2360087View attachment 2360088View attachment 2360089View attachment 2360090

Hayo ndiyo yalikuwa makadirio ya jengo hilo na yalienda kwa ukamilifu.
Hii nyumba ina ukubwa gani? Idadi ya rooms?
 
Hii nyumba ina ukubwa gani? Idadi ya rooms?
1. Sitting room
2. Dining room
3. Kitchen & store
4. Master bedroom & changing room
5. 3 - bedroom one self
6. Public toilets
7. Front & rear verandah.

Ukubwa wake ni ( upana 16.3m na urefu 16.95m )

Karibu sana boss
 
Naendelea kutoa shukurani kwa wale waliotupa kazi. Tunaahidi kuwa waaminifu na kufanya kazi zenu vizuri.
 
Karibuni tufanye kazi. Site vist ni bure na utaoneshwa papo hapo paa la nyumba yako na kama utataka mabadiliko tutayafanya papo hapo tukiwa site. Baada ya kukubaliana jinsi tunavyotaka paa liwe ndipo makadirio yanaanza.
 
Nashukuru kwa mteja wangu kwa kunipa kazi kama inavyoonekana hapo chini,

IMG_20220925_164248.jpg
IMG_20220925_164223.jpg

Tumeonana tumechukua vipimo tukachora ili kuangalia paa analotaka mteja ili kulifanyia kazi.
Sasa tunafanya makadirio kwa kupaua kwanza kwenye computer ili kumpa makadirio sahihi mteja wetu.
 
Back
Top Bottom