Karibu tupeane codes za viwanja weekend!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Habari wakuu,
Za asubuhi. Happy sabbath day kwa wasabato but all in all we thank the almighty kwa weekend nyingine tena. Nimecreate thread hii spesheli kwaajil ya kupeana codes za sehemu mbali mbali, wapi pana happen na wapi pakwenda. Si mbaya hata ukiwa sehemu fulani ukatoa code(GR) watu wakatimba pande hizo (usijali kuhusu anonymity yako), wala hutoulizwa eti mkuu umevaaje, lol. As matter of fact mimi asubuhi hii as am back from jogging, najiandaa kwenye saa nne nishuke hapo nguruko annex kibao cha shule nifanye kama napata mchemsho hivi then codes za baadae zitaeleweka baadae. Salute!
 
Hahahaah Nipo hapa Nefaland Hotel, naingia Sauna kwanza nipunguze Mafuta kisha Baadae nielekee Madoto Kigogo kwa Mangi nikapate kitimoto then kwa Mwakasege
 
Sio ndio bata yako hiyo kama viwanja wewe mzito kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…