Karibu tupeane codes za viwanja weekend!

mi niko machimbo huku nasubiria mvua ikatike maana inanyesha bila mpangilio then ndo nikajue inakuwaje
 
Kumalija nimekula Serengeti na kulala hapo sana nkiwa naenda au kutoka Mwanza coz ni pembeni kabisa ya stand ya nyegezi
Yep yep, pametulia sana hata ukiwa na mpango wa kando mambo ni safi kabisa.
 
Forty forty hapa, tabata bima bata batani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…