jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nadhani wamekuelewa..haya mpe mleta uzi fursa za kibiashara hapo katoro.Yan kwa jbu lako hili kwa mwny ufahamu hawez poteza muda kujbzana na ww. Narudia jf humu kumejaa watu wajuaji sn sn hata kwa mambo yasiyohtaji ujuaji kila mtu humu hujidai amefanikiwa na anajua kila ktu, watu hawajui kutofautisha mambo ya ulimwengu wa mwili wa macho na nyama na ulimwengu wa roho, kwa taarifa yako sasa hata vyakula wanavyouziwa weng kwa mama ntilie vngne si vyakula halisi unaona ni ubwabwa na nyama kumbe si halisi kbs, kuna wengne wanafanya biashara wako uchi wa mnyama ila watu wasio na nguvu ulimwengu wa roho hawaoni, kuna wengne wanakuja na hela ambazo si halis na unamuuzia ktu kumbe hujapewa pesa halis simaanish bandia hapa namaanisha unapewa ktu mfano wa pesa kumbe si pesa kfuatacho unashangaa unafilisika tu.
#MaendeleoHayanaChama