Karibu tupeane fursa za Katoro, Geita

Karibu tupeane fursa za Katoro, Geita

Yan kwa jbu lako hili kwa mwny ufahamu hawez poteza muda kujbzana na ww. Narudia jf humu kumejaa watu wajuaji sn sn hata kwa mambo yasiyohtaji ujuaji kila mtu humu hujidai amefanikiwa na anajua kila ktu, watu hawajui kutofautisha mambo ya ulimwengu wa mwili wa macho na nyama na ulimwengu wa roho, kwa taarifa yako sasa hata vyakula wanavyouziwa weng kwa mama ntilie vngne si vyakula halisi unaona ni ubwabwa na nyama kumbe si halisi kbs, kuna wengne wanafanya biashara wako uchi wa mnyama ila watu wasio na nguvu ulimwengu wa roho hawaoni, kuna wengne wanakuja na hela ambazo si halis na unamuuzia ktu kumbe hujapewa pesa halis simaanish bandia hapa namaanisha unapewa ktu mfano wa pesa kumbe si pesa kfuatacho unashangaa unafilisika tu.
Nadhani wamekuelewa..haya mpe mleta uzi fursa za kibiashara hapo katoro.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi sio mwenyeji sana katika mji huu ila natamani sana kuanza biashara ya Nguo za watoto Katoro sema sina connection ya frame na bado sijajua fursa zilizopo Katoro

Kwahiyo nawakaribisha wanajamii kwa mawazo. Nikijua nitapata ushauri mzuri wa sehemu hiyo na bei za frame, ikiwezekana na connection.

#TupigekaziMunguatabariki,
Katoro is overrated otherwise km unataka kufanya biashara za umachinga

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ule wingi wa watu pale unawachanganya sana..wakati watu huja kununu dagaa za kula huko migodini.

#MaendeleoHayanaChama
Ndio namwambia...so far hakuna mfabiashara yoyote serious wa kanda ya ziwa aliewekeza katoro hta Serengeti breweries walifungua depot yao mwisho wa siku waliifunga coz wana katoro wamezoea pombe kali za bei rahisi.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ndio namwambia...so far hakuna mfabiashara yoyote serious wa kanda ya ziwa aliewekeza katoro hta Serengeti breweries walifungua depot yao mwisho wa siku waliifunga coz wana katoro wamezoea pombe kali za bei rahisi.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Watu wa kule wengi ni masikini hivyo hata bidhaa zao ni cheap sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Fursa za biashara watu wanaanza umasikini wao ooh uchawi
Nasema hakuna uchawi ni kasumba za kijima tu
Piga kazi siku 365 kwa bidii na utafanikiwa
Sijawahi kuona uchawi bali wachapa kazi tu
Nakuja huko na mtaniona nawekeza bila ndumba
Acha nisome fursa kwanza
Na post ya uchawi na ignore [emoji1]
 
Mimi sio mwenyeji sana katika mji huu ila natamani sana kuanza biashara ya Nguo za watoto Katoro sema sina connection ya frame na bado sijajua fursa zilizopo Katoro

Kwahiyo nawakaribisha wanajamii kwa mawazo. Nikijua nitapata ushauri mzuri wa sehemu hiyo na bei za frame, ikiwezekana na connection.

#TupigekaziMunguatabariki,

Hii ndiyo Katoro!

Ukienda kichwa kichwa utaondoka kwa uzuni.

Usafiri mkubwa kwq mozigo mizito ni wa punda kubebea mizigo ikiwemo michanga, kokoto, nk.

Usafiri wa kawaida unaoongoza ni Pikipiki, zinafuata Baiskeli na Bajaj.

IMG-20221024-WA0035.jpg
 
Mkuu si uende Buseresere kule sokon utakuta wauza mitumba kibao na zpo store za marobota ulza bei. Mi npo katoro town kbs ila si kwa mishe hzo. Sehemu unazoweza uzia ni ccm, buseresere na kule ambako zmejengwa fremu mpya ukitoka katoro stand km unaelekea geita.

Mi nataman anzsha biashara fulan ndogo tu bt napambana kupata kamtaji. NB: USKURUPUKE KUMWAGA HELA KWNY BIASHARA KUBWA WKT HUJUI ABC ZA MJI NA WENYEJI KUWA MAKINI MJI HUU WATU WANAAMINI UCHAWI, UGANGA KWNY MAMBO MENGI SN FULL USHIRIKINA.
Wapi huko wanauza nguo Kali grade one za reja reja, suruali, mashati au viatu?!
 
Back
Top Bottom