2006 BMW 3 Series
1,990 CC
54,139 KM
Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 13,900,000/=
Malipo ni ya awamu 3
malipo ya awali
TZS 7,500,000/=
Gari yako unaletewe.
EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
View attachment 1830297
View attachment 1830298
View attachment 1830299
View attachment 1830300
View attachment 1830301
View attachment 1830302
View attachment 1830303
View attachment 1830304
Inategemeana na Dualis mzee, maana ziko rofauti na kila moja ina bei yake.mkuu dualis itani cost kiasi gani? from japan to tz mpaka
unikbidhi mkononi?
Sababu wanataka wale cha juuKwann nisiagize mwenyewe direct? Ninyi mna maajabu gani? Maana hao Beforward wanaku-alert kila step kuanzia kupokea malipo (kwenye akaunti yao hapa hapa TZ), gari kuwa RESERVED, kupakiwa, meli kuondoka, kufika na gharama zote za Port+TRA.
Watu mna siri, upo humu mzee baba hata kuniita, dahh!!Sasa sindio biashara mzee baba! Sasa akikuagizia kwa bei unayotaka wewe yeye ataendeshaje ofisi? Au hujui kuwa faida yake iko kwenye hizo figures?