Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,
Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6
Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.
Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.
Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.
Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.
Hii imekaaje mkuu
Kama upo karibu na kiwanda cha magodoro unaagiza special order na utapata , lkn pia itabidi umpange fundi seremala akutengenezee kitanda cha ukubwa wa godoro unalolitaka.Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,
Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6
Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.
Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.
Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.
Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.
Hii imekaaje mkuu
Mkuu magodoro yako unatoa guarantee ya kutobonyea katikati? Na kwa muda gani?Karibuni sana mjipatie magodoro ya kila aina safi yenye ubora uliohakikiwa na kupitishwa na TBS napatikana kinondoni biafra
Yapo magodoro yenye size mbalimbali kulingana na mahitaji yako na bei mbali mbali fika ofisini kwa maelezo ya uhakika
Mawasiliano
0784640214
0719590756
View attachment 1739777
View attachment 1739778
View attachment 1739779
View attachment 1739780
View attachment 1739781
View attachment 1739782
View attachment 1739783
View attachment 1739784
Mkuu magodoro yako unatoa guarantee ya kutobonyea katikati? Na kwa muda gani?
Maana kila Siku mie na dada ako tunakutana katikati kwenye shimo la godoro lililobonyea kama vile tupo kwenye kitanda cha teremka tukaze . Na godoro ni jipya tu .
Magodoro ya Serra na Seally unayo?
Mbuzibee [emoji238]
Vip kitanda Kama hicho naweza kukipata kwa bei gani?
6x6 by 12 inch bei ngapiMwaka mkuu bila ubishi
6x6 by 12 inch bei ngapi
Pooza bei mkuu tuishiLaki nne na nusu ya kawaida
Laki nne na themanini ya kudarizi yaani foronya
Mkuu una urefu kama Hasheem Thabiti nini😀 hivi mtu hawezi kuwasiliana na watu wa kiwandani direct kuweka special order? Mbu wasijemaliza nyayo zako mkuu😀Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,
Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6
Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.
Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.
Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.
Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.
Hii imekaaje mkuu
Pooza bei mkuu tuishi