INAUZWA Karibu ujipatie magodoro safi na bora

INAUZWA Karibu ujipatie magodoro safi na bora

Rich Forever

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
467
Reaction score
469
Karibuni sana mjipatie magodoro ya kila aina safi yenye ubora uliohakikiwa na kupitishwa na TBS napatikana kinondoni biafra
Yapo magodoro yenye size mbalimbali kulingana na mahitaji yako na bei mbali mbali fika ofisini kwa maelezo ya uhakika

Mawasiliano
0784640214
0719590756
52f0b3b4-e221-4a2e-9d2f-6280aa0d9657.jpg

93f0ede3-cc41-463d-adca-f6a9bb53cd60.jpg

16f98a18-c138-478e-a427-8ae752720356.jpg

b3c437aa-00c3-4260-bbd6-7d4722215382.jpg

9178537b-c2cb-4c2d-9418-efc292412992.jpg

86db2988-3042-4ddd-92fd-cb7b771b2ef3.jpg

0210f09a-9178-4406-8b51-66ad3f7fc695.jpg

67632d6a-6d58-4b34-9026-e85eb75155a5.jpg
 
Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,

Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6

Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.

Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.

Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.

Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.

Hii imekaaje mkuu
 
Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,

Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6

Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.

Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.

Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.

Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.

Hii imekaaje mkuu

Hapo mkuu ni mambo ya viwandani tu kuwauliza pia kwa jinsi ninavyoona kwa upeo wangu nyie mpo wachache sana sasa pengine watengenezaji waliona wakitoa godoro nyingi za watu kama nyie hasara ipo karibu yanaweza kukaaa sana au yasipate wateja kabisa
 
Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,

Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6

Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.

Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.

Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.

Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.

Hii imekaaje mkuu
Kama upo karibu na kiwanda cha magodoro unaagiza special order na utapata , lkn pia itabidi umpange fundi seremala akutengenezee kitanda cha ukubwa wa godoro unalolitaka.
 
Karibuni sana mjipatie magodoro ya kila aina safi yenye ubora uliohakikiwa na kupitishwa na TBS napatikana kinondoni biafra
Yapo magodoro yenye size mbalimbali kulingana na mahitaji yako na bei mbali mbali fika ofisini kwa maelezo ya uhakika

Mawasiliano
0784640214
0719590756
View attachment 1739777
View attachment 1739778
View attachment 1739779
View attachment 1739780
View attachment 1739781
View attachment 1739782
View attachment 1739783
View attachment 1739784
Mkuu magodoro yako unatoa guarantee ya kutobonyea katikati? Na kwa muda gani?
Maana kila Siku mie na dada ako tunakutana katikati kwenye shimo la godoro lililobonyea kama vile tupo kwenye kitanda cha teremka tukaze . Na godoro ni jipya tu .
 
Mkuu magodoro yako unatoa guarantee ya kutobonyea katikati? Na kwa muda gani?
Maana kila Siku mie na dada ako tunakutana katikati kwenye shimo la godoro lililobonyea kama vile tupo kwenye kitanda cha teremka tukaze . Na godoro ni jipya tu .

Mwaka mkuu bila ubishi
 
Vip kitanda Kama hicho naweza kukipata kwa bei gani?
 
Nna swali huwalinaniumiza sana kichwa,

Hivi kwanini nyie watu wa magodoro kwenye vipimo vyenu mmeishia futi 6×6

Wengine sisi tukilala nyayo zetu zinabaki zinaning'inia Nia TU chini.

Ukijaribu kujikunja, nyayo zisiliwe na mbu.

Asbuh unaamka mwili wote unauma, hasa mgongo.

Yaan
Nmezunguka maduka mengi kutafta angalau godolo la futi 7 au 8 nilale nijinafasi nmelikosa.

Hii imekaaje mkuu
Mkuu una urefu kama Hasheem Thabiti nini😀 hivi mtu hawezi kuwasiliana na watu wa kiwandani direct kuweka special order? Mbu wasijemaliza nyayo zako mkuu😀
 
Back
Top Bottom