Yaani sijui tutabadilika liniShida ya nchi yangu hakunaga kitu Kiko na bei eti maelewano ndo mana tangazo mujarabu kama hili hakuna hata bei
Sasa kama ng'ombe ni wake kwanini anataka kumbadilisha na pesa?Mkuu usiweke bei maana naona Kuna watu wanakuforce ilihali ng'ombe ni wako.
Hizi ni dalili za upigaji, mtu anaandika maelezo marefu ila hawezi kutaja beiShida ya nchi yangu hakunaga kitu Kiko na bei eti maelewano ndo mana tangazo mujarabu kama hili hakuna hata bei
Huyo mwekundu jamaa anasema alimnhnu akiwa ndama wa miezi 3 kwa million moja na mama yake alimnunua kqa 6m. Huyo ni miaka mitatu iliyopita.Hivi kuna ng'ombe wa 3m/- nowadays? Kweli tumeingia ufugaji wa kibiashara.
Basi hata tangazo asingewekaMkuu usiweke bei maana naona Kuna watu wanakuforce ilihali ng'ombe ni wako.