Karibu umalizie nyumba kwa mkataba kisha uhamie. Nahama kikazi

Karibu umalizie nyumba kwa mkataba kisha uhamie. Nahama kikazi

Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums.
Iko hivi,
Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019.
Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya.

Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga nyumba ila kutokana na majukumu kunizidia nikajikuta nashindwa kuimalizia vyema.

Sasa nakuja kwenu wana Dodoma mnisaidie kitu kama inawezekana.
Je, naweza pata mtu wa kupanga hio nyumba kwa makubaliano kuwa aimalizie finishing kisha ahamie?
Tupigiane mahesabu kuwa ametumia kiasi gani ili tukae chini tujue tunafanyaje?

Pia naweza kumuachia aendelee kukaa bure kama ataimalizia ili aendelee kuniangalizia.
......Hii ni kama Ofa......

Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),

Ina public toilet,
Ina jiko,
Ina stoo.
Ina sebule kubwa.

Nyumba nimeshaipaua tayari na ina vyoo ndani (master kubwa ina choo cha kukaa, public na master ingine ina vyoo vya kuchuchumaa) Vyote vipya.

Nimeshafanya hatua za awali za wiring bado kuingiza nyaya kwenye switch tu.

Nimeshafanya brandering kwa ajili ya gypsum

Karo la choo na chemba zake ziko tayari.

Ina madirisha ya grill na mageti mawili (la mbele na nyuma yenye vitasa vya funguo)

Na mbele ya nyumba kuna eneo kubwa tu limebaki kwa ajili ya ufugaji au kilimo akitaka mpangaji.

Atakachomalizia yeye mpangaji.
1. Madirisha ya aliminium
2. Plasta ndani na nje
3. Mlango wa mbele na wa nyuma
4. Kama ataweka gypsum sawa.
5. Kuingiza nyaya za umeme kwenye switch.

Mahali nilikojenga ni Ndachi, hospitali mpya ya Jiji la Dodoma.
Kumejengeka na huduma zote muhimu za kijamii zipo.

Je, naweza pata mtu wa kufanya hivi hapa Dodoma?
Karibuni kwa ushauri, maoni au maswali.
Picha zinakuja hivi punde.
View attachment 3230426

View attachment 3230431
View attachment 3230482
Hongera
 
Sawa Faana
Asante sana kwa maoni yako.
Ila mimi nahitaji amalizie mwenyewe kisha ndio tuje kupigiana mahesabu
Ata inflate gharama za materials na ufundi ili gharama iwe kubwa akae muda mrefu, labda utafute fundi wako mwaminifu na duka la mtu wa karibu nawe atakapochukua materials ili mwisho wa siku uwe umetumia gharama halisi unayoijua
 
Hadi kufikia hapo maumivu ya ujenzi ndo huwa yanaanza sasa, japo tayari umeshayaonja kwenye blundering, kupaua , na hizo frame za madirisha na milango
Kabisa.
We acha tu
 
Ata inflate gharama za materials na ufundi ili gharama iwe kubwa akae muda mrefu, labda utafute fundi wako mwaminifu na duka la mtu wa karibu nawe atakapochukua materials ili mwisho wa siku uwe umetumia gharama halisi unayoijua
Ohhh, hapa sasa ndio nimekuelewa kwa umakini mkuu.
Asante sana
 
Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums.
Iko hivi,
Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019.
Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya.

Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga nyumba ila kutokana na majukumu kunizidia nikajikuta nashindwa kuimalizia vyema.

Sasa nakuja kwenu wana Dodoma mnisaidie kitu kama inawezekana.
Je, naweza pata mtu wa kupanga hio nyumba kwa makubaliano kuwa aimalizie finishing kisha ahamie?
Tupigiane mahesabu kuwa ametumia kiasi gani ili tukae chini tujue tunafanyaje?

Pia naweza kumuachia aendelee kukaa bure kama ataimalizia ili aendelee kuniangalizia.
......Hii ni kama Ofa......

Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),

Ina public toilet,
Ina jiko,
Ina stoo.
Ina sebule kubwa.

Nyumba nimeshaipaua tayari na ina vyoo ndani (master kubwa ina choo cha kukaa, public na master ingine ina vyoo vya kuchuchumaa) Vyote vipya.

Nimeshafanya hatua za awali za wiring bado kuingiza nyaya kwenye switch tu.

Nimeshafanya brandering kwa ajili ya gypsum

Karo la choo na chemba zake ziko tayari.

Ina madirisha ya grill na mageti mawili (la mbele na nyuma yenye vitasa vya funguo)

Na mbele ya nyumba kuna eneo kubwa tu limebaki kwa ajili ya ufugaji au kilimo akitaka mpangaji.

Atakachomalizia yeye mpangaji.
1. Madirisha ya aliminium
2. Plasta ndani na nje
3. Mlango wa mbele na wa nyuma
4. Kama ataweka gypsum sawa.
5. Kuingiza nyaya za umeme kwenye switch.

Mahali nilikojenga ni Ndachi, hospitali mpya ya Jiji la Dodoma.
Kumejengeka na huduma zote muhimu za kijamii zipo.

Je, naweza pata mtu wa kufanya hivi hapa Dodoma?
Karibuni kwa ushauri, maoni au maswali.
Picha zinakuja hivi punde.
View attachment 3230426

View attachment 3230431
View attachment 3230482

Nina kijana anasimamia mradi wangu Dodoma, Kama utakubali nimalizie master bed room completely aamie hapo akuangalizie nyumba yako mpaka utakapokuwa tayari kupajenga taratibu!

Mamikata na watu kumalizia Nyumba ya gharama yaweza Kuwa lawama huko mbele, sikushauri!

Na Mimi nitakupa hela umalizie Kama wewe then tutakuwa na mkataba wa kukutunzia tu nyumba yako!

I love Ndachi
 
Kama utafikia hatua ya kuhitaj familia ya kukaa Kwa Kodi kidogo au bure kukulindia nyumba itakuwa Bora zaidi.

Nina family friend alikumbana na changamoto za dunia now anajitafuta hivyo anaweza kuwa msaada.

Family hii ni mtumishi wa umma.
 
Madame B hiyo nyumba cha kufanya usiwe na haraka nayo kwa stage ambayo umefikia unaweza ukafanya ujenzi wako taratibu bila kuwa na bugudha na mtu cha kwanza kabisa tafuta mtu wa kuweza kukaa na kukulindia hapo 2:anza kuiboresha kwa awamu kama utaanza na plaster ndani ndo uje umalizie njee pia sawa 3:hakikisha utakapo kua unachukua material uwepo na kusimamia walau hata siku 2 sio mbaya,au upate mtu mwaminifu wa kusimamia kazi ifanywe kwa ubora ……………
 
Nina kijana anasimamia mradi wangu Dodoma, Kama utakubali nimalizie master bed room completely aamie hapo akuangalizie nyumba yako mpaka utakapokuwa tayari kupajenga taratibu!

Mamikata na watu kumalizia Nyumba ya gharama yaweza Kuwa lawama huko mbele, sikushauri!

Na Mimi nitakupa hela umalizie Kama wewe then tutakuwa na mkataba wa kukutunzia tu nyumba yako!

I love Ndachi
Sawa, yote inawezekana.
Na itakuwa vyema sana kama hilo litawezekana.

Ndachi pazuri mno.
Pana hali ya hewa nzuri sana.
Karibu sana tuwasiliane mkuu.
 
Kama utafikia hatua ya kuhitaj familia ya kukaa Kwa Kodi kidogo au bure kukulindia nyumba itakuwa Bora zaidi.

Nina family friend alikumbana na changamoto za dunia now anajitafuta hivyo anaweza kuwa msaada.

Family hii ni mtumishi wa umma.
Sawa yote inawezekana kwa makubaliano maalum.

Pia mpe pole sana kwa changamoto zilizompata.
Mimi niko hapa kwa ajili yenu.
Yote inawezekana.
 
Madame B hiyo nyumba cha kufanya usiwe na haraka nayo kwa stage ambayo umefikia unaweza ukafanya ujenzi wako taratibu bila kuwa na bugudha na mtu cha kwanza kabisa tafuta mtu wa kuweza kukaa na kukulindia hapo 2:anza kuiboresha kwa awamu kama utaanza na plaster ndani ndo uje umalizie njee pia sawa 3:hakikisha utakapo kua unachukua material uwepo na kusimamia walau hata siku 2 sio mbaya,au upate mtu mwaminifu wa kusimamia kazi ifanywe kwa ubora ……………
Asante sana mkuu.
Nashukuru sana kwa ushauri.

Ndio, ila mimi kwa kuwa nahama kikazi nadhani jukumu la kusimamia huku na kule naona kama kichwa kitavurugika tu.
Ndio manaa nikaona ni heri nipate wa hivo kabla option ya kuuuza haijanitawala.

Wazo lako ni zuri mno Kasongo Yeyee na nitalifanyia kazi.
Shukrani sana mkuu
 
Vipi ukiniuzia moja ka moja?
Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums.
Iko hivi,
Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019.
Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya.

Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga nyumba ila kutokana na majukumu kunizidia nikajikuta nashindwa kuimalizia vyema.

Sasa nakuja kwenu wana Dodoma mnisaidie kitu kama inawezekana.
Je, naweza pata mtu wa kupanga hio nyumba kwa makubaliano kuwa aimalizie finishing kisha ahamie?
Tupigiane mahesabu kuwa ametumia kiasi gani ili tukae chini tujue tunafanyaje?

Pia naweza kumuachia aendelee kukaa bure kama ataimalizia ili aendelee kuniangalizia.
......Hii ni kama Ofa......

Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),

Ina public toilet,
Ina jiko,
Ina stoo.
Ina sebule kubwa.

Nyumba nimeshaipaua tayari na ina vyoo ndani (master kubwa ina choo cha kukaa, public na master ingine ina vyoo vya kuchuchumaa) Vyote vipya.

Nimeshafanya hatua za awali za wiring bado kuingiza nyaya kwenye switch tu.

Nimeshafanya brandering kwa ajili ya gypsum

Karo la choo na chemba zake ziko tayari.

Ina madirisha ya grill na mageti mawili (la mbele na nyuma yenye vitasa vya funguo)

Na mbele ya nyumba kuna eneo kubwa tu limebaki kwa ajili ya ufugaji au kilimo akitaka mpangaji.

Atakachomalizia yeye mpangaji.
1. Madirisha ya aliminium
2. Plasta ndani na nje
3. Mlango wa mbele na wa nyuma
4. Kama ataweka gypsum sawa.
5. Kuingiza nyaya za umeme kwenye switch.

Mahali nilikojenga ni Ndachi, hospitali mpya ya Jiji la Dodoma.
Kumejengeka na huduma zote muhimu za kijamii zipo.

Je, naweza pata mtu wa kufanya hivi hapa Dodoma?
Karibuni kwa ushauri, maoni au maswali.
Picha zinakuja hivi punde.
View attachment 3230426

View attachment 3230431
View attachment 3230482
 
Back
Top Bottom