Mkuu inaenda kwa tsh ngapi hii kama ni reasonable nalipa ya mwaka kabisa naishi hapa national karibu na comfort hotel nijibu pliziRoom 3 ndani ya fensi Nyakato hapoView attachment 1115307View attachment 1115308View attachment 1115309View attachment 1115310
Sorry Mkuu hiyo nilipost trh 2/6 ikachukuliwa tarehe 4/6 mkuu endelea kutembelea hapa kesho ntapost Nyumba nyingi za maeneo hayo mkuuMkuu inaenda kwa tsh ngapi hii kama ni reasonable nalipa ya mwaka kabisa naishi hapa national karibu na comfort hotel nijibu plizi
PoaSorry Mkuu hiyo nilipost trh 2/6 ikachukuliwa tarehe 4/6 mkuu endelea kutembelea hapa kesho ntapost Nyumba nyingi za maeneo hayo mkuu
Kwa kuongezea tu kodi inalipwa kwa mwakaTexas hills apartment
6 houses 1 compound
3 full furnished
2 bed room
Self contained
Sitting room
Kitchen
Gas cooker with oven
Public toilet
Heaters
Fruit trees
Garden& parking space
Furnished Apartment
annual 10mil
Normal apartment 6 mil annually
Welcome
0767-241001whatsup
NB
Nyumba za kupanga zipo za kila bei kuanzia elfu 40 hadi mil 3 kwa mwenzi, kila MTU atapewa kulingana na uwezo wakeView attachment 1146043View attachment 1146044View attachment 1146045View attachment 1146046View attachment 1146047View attachment 1146048View attachment 1146049View attachment 1146050View attachment 1146051View attachment 1146052
Ushauri mzuri Mkuu ubarikiwe sana hiyo paragraph ya mwisho Mkuu umenisingizia kabisa kama kunawatu nimewahi kuwafanyia hivyo waje na screen short zangu mkuu always nipo upande Wa Mteja mkuu asanteWabongo hawajuii hata kutangaza vizuri kwa swala la pichaa.
Unakuta ana pigaa.
Kitasaa
Dirisha
Choo
Kona ya chumba
Ceiling board tena kipande
Jikoni ana piga robo nusu yanii hata kuona,huoni
Picha anaweka moja ambilii.
La mwisho anauza kama hana shidaa. Unakuta una muuliza kwa mwezi au mwaka anakuambiia njoo inbox. , ukienda inbox anaku force au kuku nyamazia kabisa.
Asante karibuKazi nzuri Dalali hongera
hahahahahaKwanini usiuze kwa bei anayotaka mmilikia ukalipwa percent yako hadi upandishe bei hovyo hovyo
Hivi huoni kwamba unaweza kumcheleweshea mwenye mali yako kuuza pia unamuumiza mteja wako?
View attachment 1132494
Inashangaza sana,Wiki moja badae the same guy:-hahahahaha