House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

Bado mnatafuta NYUMBA/PLOT MWANZA?

  • 1.Ndio

    Votes: 5 83.3%
  • 2.Hapana

    Votes: 1 16.7%
  • 3.Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    6
  • Poll closed .
Mkuu inaenda kwa tsh ngapi hii kama ni reasonable nalipa ya mwaka kabisa naishi hapa national karibu na comfort hotel nijibu plizi
Sorry Mkuu hiyo nilipost trh 2/6 ikachukuliwa tarehe 4/6 mkuu endelea kutembelea hapa kesho ntapost Nyumba nyingi za maeneo hayo mkuu
 
Texas hills apartment
6 houses 1 compound
3 full furnished
2 bed room
Self contained
Sitting room
Kitchen
Gas cooker with oven
Public toilet
Heaters
Fruit trees
Garden& parking space
Furnished Apartment
annual 10mil
Normal apartment 6 mil annually
Welcome
0767-241001whatsup

NB
Nyumba za kupanga zipo za kila bei kuanzia elfu 40 hadi mil 3 kwa mwenzi, kila MTU atapewa kulingana na uwezo wake
IMG_20190704_095330_341.JPG
IMG_20190704_095318_015.JPG
IMG_20190704_095305_625.JPG
IMG_20190704_095251_880.JPG
IMG_20190704_095238_849.JPG
IMG_20190704_095228_293.JPG
IMG_20190704_095215_733.JPG
IMG_20190704_095201_459.JPG
IMG_20190704_095149_107.JPG
IMG_20190704_095136_213.JPG
 
Texas hills apartment
6 houses 1 compound
3 full furnished
2 bed room
Self contained
Sitting room
Kitchen
Gas cooker with oven
Public toilet
Heaters
Fruit trees
Garden& parking space
Furnished Apartment
annual 10mil
Normal apartment 6 mil annually
Welcome
0767-241001whatsup

NB
Nyumba za kupanga zipo za kila bei kuanzia elfu 40 hadi mil 3 kwa mwenzi, kila MTU atapewa kulingana na uwezo wakeView attachment 1146043View attachment 1146044View attachment 1146045View attachment 1146046View attachment 1146047View attachment 1146048View attachment 1146049View attachment 1146050View attachment 1146051View attachment 1146052
Kwa kuongezea tu kodi inalipwa kwa mwaka
Wale mnaolipiwa na mashirika yenu ,mtafanya malipo kupitia Benki asanteni
IMG_20190704_095121_098.JPG
IMG_20190704_095044_934.JPG
 
NYAKATO
3 bedroom
Master room 1
Living room 1
Dinning room1
Kitchen
Store
Heaters
Dressing table master room
Stand by solar
Public toilet
Kabati za ukutani kila chumba
Cctv cameras
Fenced
Maji/Umeme 24/7
Bei mil 6 kwa mwaka
Anapokea miezi 6
0767-241001 what's up

NB
Tunazo Nyumba za kupanga/fremu kuanzia elf40 kwa mwenzi nk pia viwanja kuanzia mil 2 nk karibuni sana
IMG_20190704_103229_988.JPG
IMG_20190704_102856_973.JPG
IMG_20190704_103211_088.JPG
IMG_20190704_103139_547.JPG
IMG_20190704_103123_791.JPG
IMG_20190704_103114_089.JPG
IMG_20190704_103059_421.JPG
IMG_20190704_103048_751.JPG
IMG_20190704_103031_412.JPG
IMG_20190704_103016_526.JPG
IMG_20190704_102950_046.JPG
IMG_20190704_102856_973.JPG
 
Nyakato nyumba mpya
Master room
Sebure
Jiko
Maji/Umeme 24/7 inajitegemea
Bei mil 2 kwa mwaka
Miezi sita anapokea
Karibu sana na stendi
Karibuni sana
0767-241001 what'sup

NB
Zipo Nyumba za kila bei kuanzia elfu 40 hadi mil 3 kwa mwenzi
IMG_20190704_114007_972.JPG
IMG_20190704_114007_972.JPG
 
Wabongo hawajuii hata kutangaza vizuri kwa swala la pichaa.
Unakuta ana pigaa.

Kitasaa
Dirisha
Choo
Kona ya chumba
Ceiling board tena kipande
Jikoni ana piga robo nusu yanii hata kuona,huoni

Picha anaweka moja ambilii.

La mwisho anauza kama hana shidaa. Unakuta una muuliza kwa mwezi au mwaka anakuambiia njoo inbox. , ukienda inbox anaku force au kuku nyamazia kabisa.
 
Wabongo hawajuii hata kutangaza vizuri kwa swala la pichaa.
Unakuta ana pigaa.

Kitasaa
Dirisha
Choo
Kona ya chumba
Ceiling board tena kipande
Jikoni ana piga robo nusu yanii hata kuona,huoni

Picha anaweka moja ambilii.

La mwisho anauza kama hana shidaa. Unakuta una muuliza kwa mwezi au mwaka anakuambiia njoo inbox. , ukienda inbox anaku force au kuku nyamazia kabisa.
Ushauri mzuri Mkuu ubarikiwe sana hiyo paragraph ya mwisho Mkuu umenisingizia kabisa kama kunawatu nimewahi kuwafanyia hivyo waje na screen short zangu mkuu always nipo upande Wa Mteja mkuu asante
 
Buzuruga
Vyumba viwili&sebure
Chumba kimoja master
Jiko
Ndani ya fensi
Maji&Umeme24/7 vinajitegemea
Bei mil 2•5 kwa mwaka
Miezi sita√√
0767-241001 whatsup
NB
Nyumba za kupanga zipo za watu wote,watu Wa kawaida,cha kati na cha juu kabisa kuanzia elfu 40 hadi mil 3 kwa mwz karibuni sana
IMG_20190704_124349_613.JPG
IMG_20190704_124326_637.JPG
IMG_20190704_124402_363.JPG
IMG_20190704_124314_368.JPG
IMG_20190704_124252_305.JPG
IMG_20190704_124252_305.JPG
IMG_20190704_124230_150.JPG
IMG_20190704_124217_945.JPG
IMG_20190704_124204_177.JPG
 
Kama ya kuchora
Safisha macho tu
NB
Tunazo nyumba za kupanga,kununua, fremu pamoja na viwanja kila mahali Mwanza karibuni sana wateja kila MTU atapewa huduma kulingana na Namahitaji yake 0767-241001
IMG_20190704_180022_960.JPG
IMG_20190704_180250_749.JPG
 
hahahahaha
Inashangaza sana,Wiki moja badae the same guy:-
Anyway n uelewa tu ktk mambo ya Biashara kasome "theory of demand and supply mkuu" wkt mwingine bei kupungua au kupanda chanzo n wateja wenyewe

Labda nikupe REALITY SHOW moja
Jamaa mmoja alitangaza bei ya eneo lake kwa mil 50, lipo barabani kabisa, linafaa kwa sheli,shule, hoteli kifupi Biashara yoyote ile lkn wateja walivyokuwa wengi akaongeza mil 100 badae mambo yakawa vile vile mwisho akaliuza mil 250 HIVI SASA ENEO LINAJENGWA SHELI MBABE FULANI KALINUNUA


IMG_20190705_081954_684.JPG
 
Buhongwa
Nyumba
Vyumba vitatu
Dinning RM
Livinging room
Master 1
Store
Jiko
Fensi
Eneo kubwa
Full document
Upimaji shirikishi
Karibu na barabara kuu
Bei mil 60
0767-241001whatsup
NB
Vitu vyote nnavyoweka humu bei zake sio kama SUPER MARKET
IMG_20190706_074837_156.JPG
IMG_20190706_074820_304.JPG
IMG_20190706_074850_525.JPG
IMG_20190706_074916_122.JPG
IMG_20190706_074938_574.JPG
 
Igoma
Vyumba vitatu+2
Master 1
Dinning
Living RM
Jiko
Store
Pembeni yake
Kuna nyumba ndogo ya
Vyumba viwili
Bei mil 55
Eneo limepimwa document zote zipo
Karibuni watu wote
0767-241001whatsup

NB
Wazee wangu Wastafu msihangaike na mafundi kujenga nyumba(Pesa inamalizika hata ujahamia), zipo nyumba nyingi sana za kununua za kila Bei, ww unahamishia vitu vyako tu na maisha yanaendelea

IMG_20190706_075945_622.JPG
IMG_20190706_080039_498.JPG
IMG_20190706_080113_715.JPG
IMG_20190706_075955_702.JPG
IMG_20190706_075945_622.JPG
IMG_20190706_080011_135.JPG
IMG_20190706_075918_690.JPG
 
Busweru
Viiwanja
Bei mil 2
Tambarare
Maeneo yamepimwa yote
0767-241001whatsup
NB
Viwanja vipo kila mahali
IMG_20190706_114753_603.JPG
IMG_20190706_114819_256.JPG
IMG_20190706_114849_602.JPG
IMG_20190706_114906_770.JPG
 
Mkuyuni
Chumba sebure
Chumba kimoja master
Ndani ya fensi
Jiko
Bei lk 1.2
Karibuni sana

NB
Chumba na sebure vipo vinavyoazia elfu 60,80 nk
IMG_20190707_103824_867.jpg
IMG_20190707_103824_867.jpg
IMG_20190707_103824_867.jpg
 
Mkuyuni-mahina
Chumba sebure
Maji&umeme24/7
Fensi
Bei elf 60
0767-241001whatsup
NB
Zipo nyumba za kila Bei kila mahali kuanzia elf 40 nk

IMG_20190708_143858_440.JPG
IMG_20190708_143838_389.JPG
 
Back
Top Bottom