nyumbanzuribeinzuri
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 2,144
- 276
- Thread starter
-
- #21
Vipo Viwanja vinaanzia mil mbili na kuendelea ambavyo vinaupimaji shirikishi pia tunavyo ambavyo havijapimwa kabisa bei zake n mil 2 nk BEI ZA VIWANJA ZINABADILIKA KUTOKANA UKUBWA NA UMBALI KUTOKA CENTER AU BARABARA KUUkiwanja cha bei nafuu sana Igombe, Kisesa au eneo jingine lolote ni bri gani??
Hapo thaqafa IPO fremu moja tu mita mbili KUTOKANA Barbara ya Airport Mil 4.5 kwa mwaka haishuki lkn ukija maeneo ya Nyuma yake mtaa Wa Uhuru krbu na SUMAYE HOTEL ZIPO ZAIDI YA SITA ZINAANZIA MIL 1.5 hadi 3.5Maeneo ya Thaqaafa pale naweza pata frame na kwa bei gani?
Dampo mil 4.5 mwaka mzima Nyuma ya Dampo ninazo kama sita hivi mil1.5 hadi 3.5 krbuBei tafadhali kwa
Hapo thaqafa IPO fremu moja tu mita mbili KUTOKANA Barbara ya Airport Mil 4.5 kwa mwaka haishuki lkn ukija maeneo ya Nyuma yake mtaa Wa Uhuru krbu na SUMAYE HOTEL ZIPO ZAIDI YA SITA ZINAANZIA MIL 1.5 hadi 3.5
Naamanisha hapo zinapopaki bodaboda ukitokea Dampo stand ya Hiace za Airport- Kisesa kk (njiapanda ya kwenda Theqaffa)Thaqaafa si ipo barabara ya unguja sasa barabara ya airport ipi tena?
Naamanisha hapo zinapopaki bodaboda ukitokea Dampo stand ya Hiace za Airport- Kisesa kk (njiapanda ya kwenda Theqaffa)
Nimekuelewa KK, HIZO FREMU ZOTE HAPO ZIMISHACHUKULIWA (hakuna chumba kipo wazi)ujue SOKO KUU wanalivunja mwenzi huu sasa vyumba Vya Biashara Mjn havitulii unaweza ukakiona Leo kesho ukija unaambiwa kishalipiwa (wale jamaa wote Wa soko kuuu wanahamia mtaani Krbu sanaYes hapo mbele kuna ghorofa flani lina frame na upande wa pili pia kuna frame upande wa lena bar ndio maeneo hayo naulizia
Nimekuelewa KK, HIZO FREMU ZOTE HAPO ZIMISHACHUKULIWA (hakuna chumba kipo wazi)ujue SOKO KUU wanalivunja mwenzi huu sasa vyumba Vya Biashara Mjn havitulii unaweza ukakiona Leo kesho ukija unaambiwa kishalipiwa (wale jamaa wote Wa soko kuuu wanahamia mtaani Krbu sana
Bajeti yako ipoje kk, na unata lini??vyumba navyo huko vingi tuNITAFUTIE MAENEO YA BUHONGWA CHUMA NA SEBULE AU CHUMBA SELF....!
Ambapo ni full security. 0786446650
Sio zaidi ya elf.50 kwa CHUMBA na SEBULE,Bajeti yako ipoje kk, na unata lini??vyumba navyo huko vingi tu
Buhongwa 98% ni Nyumba MPYASio zaidi ya elf.50 kwa CHUMBA na SEBULE,
Self napo si zaidi ya elf.60
NAHITAJI KUANZIA MWEZI WA SABA,
Japo mwezi huu nikipata ntalipia....
Hata hizo sawa,Buhongwa 98% ni Nyumba MPYA
Chumba master single
range 50-70elfu
Lkn chumba na sebure andaa range 80-120 elfu
Bei HIZO nyingine mkuyuni &Butimba,
Sawa br. Ukiwa tayali utaniambia NTAKUPA NYUMBA NZR NA STANDARD Namba zangu zipo page ya 1 KARIBU SANAHata hizo sawa,
Kama ni free from insecurity
Ndani ya hii Nyumba kuna KAKILI KUU kale kagari kadogo kazima kabisa nako kanakodishwa kwa MTU atakae hamia hapo tuKanyumba kazuri sana lkn kapo Kisesa huko kana vyumba viwili. kimoja master, sebure,sehemu ya chakula, jiko fensi kubwa, umeme na maji kanajitegemea kila kitu
Bei sasa 90,000/= anapokea miezi sita MWENYEWE KALA VUA NYINGI SANA(Jerraaa) WASIMAMIZI WAPO MUSOMAView attachment 1115391View attachment 1115392View attachment 1115393