House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

Bado mnatafuta NYUMBA/PLOT MWANZA?

  • 1.Ndio

    Votes: 5 83.3%
  • 2.Hapana

    Votes: 1 16.7%
  • 3.Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    6
  • Poll closed .
Nitafutie eneo lilichangamka kwa ajili ya mgahawa.
 
Hapo thaqafa IPO fremu moja tu mita mbili KUTOKANA Barbara ya Airport Mil 4.5 kwa mwaka haishuki lkn ukija maeneo ya Nyuma yake mtaa Wa Uhuru krbu na SUMAYE HOTEL ZIPO ZAIDI YA SITA ZINAANZIA MIL 1.5 hadi 3.5
Thaqafa na barabara ya airport wapi na wapi.....ongeza umakini kidogo unapotoa maelekezo
 
Mtaa wa Rwegasole mjn
Mil 3.5 kwa mwaka
0767241001
0620690670
Karibuni
IDD MUBARAKA
IMG_20190605_124653_022.JPG
 
Buhongwa
Room 3
1room master
Sitting room
Public Toilet
Laki 2.5
six months
5 minute from Bus stand
IMG_20190605_130304_237.JPG
 
Godauni/store
Mabati
Linabeba mzigo Wa Rori kubwa (semitera)Tano
Mil 3 kwa mwaka
0767241001
0620690670
IMG_20190605_130321_361.JPG
 
Buhongwa -Mweas(tambalale)
Viwanja vimepimwa
40-50ft
Bei inaanzia Mil 5 nk.
0767-241001
0620-690670
Krbn
 
CHANGAMOTO YA LEO!!
MTU AMENIPA KAZI NGUMU SANA anataka nimtafutie majengo ya SHULE ayakodishe nimeshangaaa sana namuambia nimuuzie eneo kubwa ajenge SHULE yake alochonijibu nimebaki mdomo wazi (yaani n kama matajiri wa KIHINDI wanachukia KUJENGA SANA)
 
Ghana
Master bed room
(chumba sebure)
Sitting room
Kitchen
Umeme/maji inajitemea
Public toilet
Bei 80elfu
0767241001
0620690670

NB
Taja Nyumba unayotaka,sifa zake ,mahali,bajeti yako,
lini unahitaji SISI TUTAKUHUDUMIA, POPOTE MWANZA KUNANYUMBA YA KUPANGA

IMG_20190605_181120_072.JPG
 
CHANGAMOTO YA LEO!!
MTU AMENIPA KAZI NGUMU SANA anataka nimtafutie majengo ya SHULE ayakodishe nimeshangaaa sana namuambia nimuuzie eneo kubwa ajenge SHULE yake alochonijibu nimebaki mdomo wazi (yaani n kama matajiri wa KIHINDI wanachukia KUJENGA SANA)

Una eneo la ukubwa gani mana siku hizi shule lazima uwe na ukubwa uliopitishwa na serikali
 
Back
Top Bottom