VETA ya wapi mbona kwetu wapo hawAcha ushamba, veta Kuna mademu wakali na wana lika vizuri tu
Yap, ila mbona nursing wana vaa lakini.Kinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hii ndio maana ya shule rafiki.Kinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ni km Primary School ndio maana iliwekwa kwa ajili ya waliotoka darasa la 7 wakafeli ndio ukawa mbadala wake baada ya hapo wakahamia form 4 waliofeli wote wakakimbilia Veta hilo ndio chimbuko la Veta sasa ukienda Veta maana yake wewe pamoja na GPA yako ya 4.5 huna ajira huna kazi basi huna tofauti na Darasa la 7 aliefeli Shule pia huna tofauti na form 4 aliezungusha akataga hana hata D moja akaenda kujifunza kuchomea mageti, upishi wa keki za maharusi, nkKinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Yaan level yoyote wanayovaa sare, sijui nawaonaje.Yap, ila mbona nursing wana vaa lakini.
Aaah wee hapana kwa kweli. LolHii ndio maana ya shule rafiki.
Hii inachoma km pasi,Ni km Primary School ndio maana iliwekwa kwa ajili ya waliotoka darasa la 7 wakafeli ndio ukawa mbadala wake baada ya hapo wakahamia form 4 waliofeli wote wakakimbilia Veta hilo ndio chimbuko la Veta sasa ukienda Veta maana yake wewe pamoja na GPA yako ya 4.5 huna ajira huna kazi basi huna tofauti na Darasa la 7 aliefeli Shule pia huna tofauti na form 4 aliezungusha akataga hana hata D moja akaenda kujifunza kuchomea mageti, upishi wa keki za maharusi, nk
We kweli ni GoatNishatoka kuchukua fomuView attachment 3270972
Utakuwa unavalia getini sare zako usiwazeHii inachoma km pasi,
Kwa upande wangu VETA siwezi enda kamwee, ujuzi bora nipatie mtaani.
Ila kuvaa sare za Dark blue na sweta la blue, km niko 4m 2 A hapana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Weka aibu pembeni twenzetu tukajifunze cherehaniKinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wewe sare hizo wengine tunape da women in uniform tena za skirt...wee ulishaone warwmbo waki sauz kwenye zile uniform na walivyo na mipaja hadi raha....kule 30 years nje njeKinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kozi gani fupi hapo na mie nikafanyeWeka aibu pembeni twenzetu tukajifunze cherehani
sema baadhi ya wadada Zina wapendeza Sana, na Kuna pisi Kali.Yaan level yoyote wanayovaa sare, sijui nawaonaje.
Tena Bora VETA wanavaa dark blue, ila Nursing wanavaa khakhi nawaona km 4m 3 B wa Maposeni Sec.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Huna mtoto wewe, au mtoto wa ndugu yako unamuona kma dunga embe akivaa uniform?Yaan level yoyote wanayovaa sare, sijui nawaonaje.
Tena Bora VETA wanavaa dark blue, ila Nursing wanavaa khakhi nawaona km 4m 3 B wa Maposeni Sec.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Tukiwa wote darasa moja la cherehani itapendeza sana. Imagine mimi na wewe ndani ya uniform😀Kozi gani fupi hapo na mie nikafanye
Hii tamu kabisaTukiwa wote darasa moja la cherehani itapendeza sana. Imagine mimi na wewe ndani ya uniform😀