zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sio wote wanavaa ...Kinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Bora ufungue bando lako la juice Point uwauzie watu maji ya kandoro 200 200 siku isogee, uende kuanza kukaguliwq km umevaa soksi na kupiga mswaki na midevu yako na uniform juu🤣Na umri wangu huu 35 years jobless niende veta nikachapwe fimbo!
Fafanua wewe umemaliza Veta mwaka gani?Sio wote wanavaa ...
Ukishafahamu....Fafanua wewe umemaliza Veta mwaka gani?
Nmejaribu juzi kunyoa ndevu Baada ya miaka 5 ya kutokunyoa ndevu babu ghafla nimepata upele kishenziBora ufungue bando lako la juice Point uwauzie watu maji ya kandoro 200 200 siku isogee, uende kuanza kukaguliwq km umevaa soksi na kupiga mswaki na midevu yako na uniform juu
Ndio ujue ushakomaa sana na washenzi wameplan sasa hivi wanaajiri kuanzia miaka 18 mwisho 24 kuanzia 25 kuendelea muende Veta viongozi viazi kweliNmejaribu juzi kunyoa ndevu Baada ya miaka 5 ya kutokunyoa ndevu babu ghafla nimepata upele kishenzi
😂Looh Sasa wa miaka 25 hadi 29 si bado wapo hot mzeeNdio ujue ushakomaa sana na washenzi wameplan sasa hivi wanaajiri kuanzia miaka 18 mwisho 24 kuanzia 25 kuendelea muende Veta viongozi viazi kweli
Hawawataki kuwapa ajira wamekomaa kuanzia 25 kuendelea waende Veta huku wanachukua kuanzia 18 mpaka 24 mwisho hapo kwa hio km umevuka 24 wewe jiongeze fungua kigenge chako hapo uza samaki wa kukaanga na dagaa mchele😂Looh Sasa wa miaka 25 hadi 29 si bado wapo hot mzee
Acha hzo Yan huu usaili wa TRA wawape under 25? Watuache sisi 25+🤣kwa kosa lipiHawawataki kuwapa ajira wamekomaa kuanzia 25 kuendelea waende Veta huku wanachukua kuanzia 18 mpaka 24 mwisho hapo kwa hio km umevuka 24 wewe jiongeze fungua kigenge chako hapo uza samaki wa kukaanga na dagaa mchele
Serikali yenu imejaa viongozi viazi na wengine viazi kabisa ila wanaitwa WakuuAcha hzo Yan huu usaili wa TRA wawape under 25? Watuache sisi 25+🤣kwa kosa lipi
Veta msamalaKinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kamuulize MajaliwaKwaiyo sisi form 4 tutaanza kuwafundisha ufundi nyinyi wa PhD.
Unataka VETA iwe sehemu ya mavazi fashion show?Kinacho udhi huko VETA ni kuvaa sare km secondary.
Kila nikiwaona wanafunzi wake, nabaki naduwaa, hapana siwezi kwa kweli.
Woiiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mmh kwa sababu sisi uku mtaani tuna gonga seremala kitambo tokea 2013 nilivyo zungusha 0. Kwa sasa Nina kikampuni Cha wagonga nyundo. Waje PhD niwape ujudhiKamuulize Majaliwa