Karibu VETA

Karibu VETA

Bora ufungue bando lako la juice Point uwauzie watu maji ya kandoro 200 200 siku isogee, uende kuanza kukaguliwq km umevaa soksi na kupiga mswaki na midevu yako na uniform juu
Nmejaribu juzi kunyoa ndevu Baada ya miaka 5 ya kutokunyoa ndevu babu ghafla nimepata upele kishenzi
 
😂Looh Sasa wa miaka 25 hadi 29 si bado wapo hot mzee
Hawawataki kuwapa ajira wamekomaa kuanzia 25 kuendelea waende Veta huku wanachukua kuanzia 18 mpaka 24 mwisho hapo kwa hio km umevuka 24 wewe jiongeze fungua kigenge chako hapo uza samaki wa kukaanga na dagaa mchele
 
Hawawataki kuwapa ajira wamekomaa kuanzia 25 kuendelea waende Veta huku wanachukua kuanzia 18 mpaka 24 mwisho hapo kwa hio km umevuka 24 wewe jiongeze fungua kigenge chako hapo uza samaki wa kukaanga na dagaa mchele
Acha hzo Yan huu usaili wa TRA wawape under 25? Watuache sisi 25+🤣kwa kosa lipi
 
Back
Top Bottom