Karibu !!!

Karibu !!!

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,930
Reaction score
2,565
Naona haitoshi kukaa na kuangalia tu,watu wanatoa michango hafifu na muelekeo wa jf unabadilika. kubwa zaidi maadili ya wengi yanatia shaka, nimeona si vyema kukaa kando bila kuja kupaza sauti yangu nami nisikike kwenu wadau wa jf... hivy naomba kusema rasmi hodiii !
 
Naona haitoshi kukaa na kuangalia tu,watu wanatoa michango hafifu na muelekeo wa jf unabadilika. kubwa zaidi maadili ya wengi yanatia shaka, nimeona si vyema kukaa kando bila kuja kupaza sauti yangu nami nisikike kwenu wadau wa jf... hivy naomba kusema rasmi hodiii !
Karibu sana, utapendelea kuweka makazi yako katika jukwaa gani?
 
Jamaa wanamuhisi ni mtoto wa ikulu hahahaaah!!
Ndio maana Mkuu Ritz anamikwala sana, nashukuru Katavi, ngoja nikipata nauli ntamtafuta nimuulize ishu za ulimboka, IGP nae kajitoa kwenye movi, nadhani atanisaidia kujua
 
Back
Top Bottom