mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Vitu vya baridi sana si vizuri kwa afya yako emmy.Itapendeza kukiwa na juice ya ukwaju bardiiii. [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vya baridi sana si vizuri kwa afya yako emmy.Itapendeza kukiwa na juice ya ukwaju bardiiii. [emoji23] [emoji23]
Kipenda roho si unaelewa wewe tu kunifungulia moyo.[emoji15] [emoji15] hela unayo lakini
Bora ukalale my Queen...atapunguza ushilawadu.[emoji30][emoji30]Wacha nkalale mie,unanitia presha tu hapa
Aah wapi gari naweza sukuma mwenyewe na kuendesha simultaneously maana huwa kuna nguvu za ajabu zinatokea pale unapokuwa pembeni ya mtoto mzuri.Umeonaeee gari inaweza kugoma kupandaa mlima bhanaa bhanaa ukamsaidia kusukuma
Unapeperusha ndege mzee.hii rizki jirani ishaingia mdudu itakutokea puwani [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ni kweli maana haya magari mengi ni ya kubust aisee
Wewe ndiyo unaiingiza mduduuhii rizki jirani ishaingia mdudu itakutokea puwani [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuuwiiiKuna Sheikh mmoja alikuwa atoa story za mahurul eiyn msikitini.
Akaanza kuwasifu sanaaaaaa mpaka jamaa wote wamepanda Mori kwa raha. Sasa mukiingia peponi (sheikh akaendelea)...ukifika kwenye Kasri lako...utakaribishwa na wanawake wazuriiiiiiiiiiiii, mpaka macho yatakutoka kwa umaumbile Yao na uzuri wao. Utauliza malaika, Hawa ndio wake zangu wa huku?
Malaika watasema hapana, hao Ni wafanyi kazi wako tu, Hao mahurul eiyn bado hujawaona, uzuri wao Ni Mara elfu hamsini ya hawa! (jamaa msikitini takbiiiiir)!
"Halafu ukiingia ndani unakuta wanawake wengine warembo kuliko wale wa mlangoni...wanakuandalia....utauliza malaika, hao ndio mahurul wangu? Utaambiwa hapana Hawa Ni wa kukupikia na kukuandalia tu! Kila ukiendelea unakutana na warembo kuliko those before na Ni wazuri Mara elfu hamsini ya those before., (jamaa msikitini takbiiiiir ya nguvuuuuu!!!!!!!)
Mwisho unafika chumba kikuu cha Kasri lako, (jamaa hata kukaa hawakai tena wengine wampiga magoti!!). Sheikh akasema, ukifungua mlango.....? Jamaa enheeee?! Tupe Sheikh!!
Sheikh akaendelea, Unamkuta mkeo wa duniani kalala kwenye jitanda lako, amependezaaaa!!!
Jamaa wote wakaruka msikitini, "Sasa sheikh mambo gani Tena? Aaaaaah waudhi kaaa Nini, hebu shuka mimbar hiyo! Aaaah eti mke wangu? Huyu huyu niliomuacha nyumbani? Mmmh! Ushaharibu kila kitu, toka uwende zako!".
Balaaa ikazuka msikitini[emoji12]
Ivi wanaume mna nn lkn[emoji124][emoji124]
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji8] sasa sijui tuhamie private massageKipenda roho si unaelewa wewe tu kunifungulia moyo.
Teh teh kesha kuachaaaAah wapi gari naweza sukuma mwenyewe na kuendesha simultaneously maana huwa kuna nguvu za ajabu zinatokea pale unapokuwa pembeni ya mtoto mzuri.
[emoji4] [emoji12] wakifunga huu uzi tutaandamana bila nguo alafu mie ntatangulia mbele[emoji79]Yani apa umetengezwa uzi tuporojee humu,alaf huu uzi ufungwe tena[emoji30]itabidi nisichangie post yyt ntakua mtazamaji tu wa post za watu
mi namjua huyo apenda vya baridiiiiVitu vya baridi sana si vizuri kwa afya yako emmy.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Kipenda roho si unaelewa wewe tu kunifungulia moyo.
aje alale maana na mie niko hukoBora ukalale my Queen...atapunguza ushilawadu.
waleikum salam kwema ?Niwekee shtombe kimoja cha gahawa yakheee!.... Usisahau na kisheti..... Asaalaam alleykhum
hahaha wacha apeperuke utamtunguwa na manatiiiUnapeperusha ndege mzee.
hahaha jirani hapanaWewe ndiyo unaiingiza mduduu
mkuu hapa haondoki mtu ndo patakuwa barza yetu hii,kila siku utatukuta hapaBado mpo tu kijiweni...
Ntarudi tena