Karibuni Baraza la Kahawa

Sawa mkuu tuweke na tangawizi kwenye Gahwa?

Yule wananchi washamchoka wamepanga kuweka mgomo kumuondoa maana anafanya kijiji kama mali yake
Migomo haianikiwi kwa sasa, mwenyekiti wa mtaa huu mpaka uchaguzi ujao wa 2020. Na wasipo badili mgombea wameumia maana mataa mzima watu hawamtaki.
 
Migomo haianikiwi kwa sasa, mwenyekiti wa mtaa huu mpaka uchaguzi ujao wa 2020. Na wasipo badili mgombea wameumia maana mataa mzima watu hawamtaki.
Na yeye analijua hilo na ndomana kukicha anajipanga ili msimtoe kwenye kiti
 
Reactions: tAi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…