Karibuni Baraza la Kahawa

Mbona wewe hujaenda jeshini ili ukafe kishujaa
Kama unaona ni vyema..
hahaha jeshi limegawanyika mkuu hata kitaa kuna mapambano zaidi ya jeshi [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] usiniambie ?

mbona wataka kuniuwa kwa presha ebu nipe ubuyu huo


Easy man....kwa timu ile inavyokwenda wacha twende hatua ya mtoano utaona wanasiasa ambao ndio ma mastermind wa nchi hii watakavyoigombea kutafuta promo....
Time will tell
 
Hahaha binam naona haka ni kakitchen party kasichokuwa na vyombo?[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…