Karibuni Baraza la Kahawa

Karibuni Baraza la Kahawa

Hakuna kitu kibaya kama kuchukiwa na unaowaongooza, hakuna jinsi ataputa uchanguzi wa 2020, mtaa ushamchoka.
Tatizo mwenyekiti hachaguliwi kwa kura za wanakijiji,.
maana kama zingekuwa zibachagua basi hata leo asingekuwepo ,
Huyu tunae mpaka 2025 tupo hapa utakuja niambia
 
Tatizo mwenyekiti hachaguliwi kwa kura za wanakijiji,.
maana kama zingekuwa zibachagua basi hata leo asingekuwepo ,
Huyu tunae mpaka 2025 tupo hapa utakuja niambia
Anasema yeye ndiye dereva safari inajua inaishia wapi maana hasikilizi abiria.
 
Hivi huyu naye kanunua gari amepata wapi hela? halafu si nilisikia yule mama wa nyumba ya tatu alikuwa na vyeti feki mbona nimemuona asubuhi asubuhi anapanda gari kavaa kama anaenda kazini? pia nilisahau yule kijana wa kwa mzee Juma hivi siku hizi anamchukua Bi Chaurembo?
Wallahi Yanga hawawezi kuchukua kombe, iwe isiwe Simba watachukua si unaijua kamati ya ufundi ya Simba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom