cantonna
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,120
- 439
Kiukweli chuo chetu hakina majengo makubwa ya kutisha, lakini mziki wa kozi tunaoupata kiukweli lazima ujipange kwani wa kufa mtu,kwani hatuendi pale kuchukua degree bali tunaenda pale kuitafuta hiyo degree...
karibuni sana Mtwara!
N'twara kuchele!
karibuni sana Mtwara!
N'twara kuchele!