Karibuni Eid ya Ukweee

Watupa mshawasha bibieeee.....

Naona hapo kuna rosti zito la biriani....

Uwe na moyo wa ukarimu kama huo MadameX
 
Last edited by a moderator:
Mbona Noah hakuna hapo??? nimeghaili nilipanga nije basi tena napita tuuuu.
 
Acheni kututamanisha ambao ni wahanga wa Epicor 9 kwikwi kwikwi kwikwi!!!!
 
MadameX,japo mie hujanikaribisha lakini nita-gatecrash tu.Na hapa nina ndizi na pilipili mfukoni,chezea mnyamwezi wa chem chem weye
 
mie nafanya zoezi la biriani, naona linataka linitie aibu hili pishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…