Karibuni keki

Ila wanaume wa jf mna wivu jamaniii [emoji1787][emoji1787]

Kosa lake kututag au ebu mwacheni kaka wa watu na nyie subirini uzi wenu wanaume mje kula cake
Wa kwetu hivi sijakualika kwenye kasherehe chetu???
 
Si wanasema eti kinga ya corona ni kubaki nyumbani?eti na kunawa mikono
Dada huwa nakukubali sana ktk kazi zako za mikeka uko vizuri, natamani nami niwe natembelea nyota yako kwa kunitag pindi uandaapo mkeka wako kama hutajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…