Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😋😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchoyo tuumechelewa demi ishaisha
Hivi mimi na wewe tumeshamalizana?? Kabla hujategwa aiseeeUnatega kitu gani?
Wa kwetu hivi sijakualika kwenye kasherehe chetu???Ila wanaume wa jf mna wivu jamaniii [emoji1787][emoji1787]
Kosa lake kututag au ebu mwacheni kaka wa watu na nyie subirini uzi wenu wanaume mje kula cake
Hongera kwa birthday mkuuumechelewa demi ishaisha
😅😅😅 tupo ukingoni lakini sio mbaya wacha nitegweHivi mimi na wewe tumeshamalizana?? Kabla hujategwa aiseee
Hahahahahahahaah.😅😅😅 tupo ukingoni lakini sio mbaya wacha nitegwe
Hivi ile bange yangu niliyoachaga pale kwenye drawer umeanza kuipunguza ama? [emoji38][emoji38]Asante Canberra kwa cake
Ila JF bhana,mleta mada kajoin jumatatu ila anatujua kinyamaa
JF unaweza kujiona mjaaanja kwa kumkataa huyu boya NYEKUNDU YA BIBI akakujia na ID yake nyingine ya troublemaker ukamkubali
Mie bado ninayo ile ile uliyonipa,bado haijaishaHivi ile bange yangu niliyoachaga pale kwenye drawer umeanza kuipunguza ama? [emoji38][emoji38]
Basi hebu punguza kidogo. Au ndio kinga ya corona.Mie bado ninayo ile ile uliyonipa,bado haijaisha
Basi hebu punguza kidogo. Au ndio kinga ya corona.
Dada huwa nakukubali sana ktk kazi zako za mikeka uko vizuri, natamani nami niwe natembelea nyota yako kwa kunitag pindi uandaapo mkeka wako kama hutajaliSi wanasema eti kinga ya corona ni kubaki nyumbani?eti na kunawa mikono