First of all just bless ur money.Hello Wana jf ukiwa na mtaji wa laki 4 biashara Gani unaweza fanya
Sehemu nilipo ni mkoani, mzunguko wa watu na pesa upo,fursa za biashara ni nyingi ni mtaji wako tu....
Mimi
binafsi nilikua napenda sana biashara ya nguo za mtumba Rasta urembo etc...je Kwa pesa hyo naweza pata mzigo,au wanaojua zaidi nahitaji mtaji wa bei Gani
Mnaweza shauri pia biashara yoyote inayoweza fanyika ukizingatia na maelezo ya eneo niliyosema
Natumai Kuna watu wanatami kujifunza pia,tafadhali wiwa kutoa maoni yako
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
Asante nipo moja ya wilaya za Tanga ...ushauri Kwa anaejua maeneo ya kariakoo ambapo urembo na mtumba unapatkana Kwa bei rahisi naomba msaadaSijui uko mkoa gani ila kama kuna soko fatilia ratiba ya masoko ujue wanafungua mabelo saa ngapi nenda kapoint mtumba kisha kauza
Makesure una jicho
Mtumba nenda ilala damia asubuhi, urembo me sijui mitaa najua maduka tuAsante nipo moja ya wilaya za Tanga ...ushauri Kwa anaejua maeneo ya kariakoo ambapo urembo na mtumba unapatkana Kwa bei rahisi naomba msaada
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
Ingia insta search Celine Kim store mdada mmoja ni expert WA mtumba anauza mabalo ya mitumba ainazote nguo mabeg ,mashuka etc na ana darasa pia ukitaka kujifunzaHello Wana jf ukiwa na mtaji wa laki 4 biashara Gani unaweza fanya
Sehemu nilipo ni mkoani, mzunguko wa watu na pesa upo,fursa za biashara ni nyingi ni mtaji wako tu....
Mimi
binafsi nilikua napenda sana biashara ya nguo za mtumba Rasta urembo etc...je Kwa pesa hyo naweza pata mzigo,au wanaojua zaidi nahitaji mtaji wa bei Gani
Mnaweza shauri pia biashara yoyote inayoweza fanyika ukizingatia na maelezo ya eneo niliyosema
Natumai Kuna watu wanatami kujifunza pia,tafadhali wiwa kutoa maoni yako
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app