Hello Wana jf ukiwa na mtaji wa laki 4 biashara Gani unaweza fanya
Sehemu nilipo ni mkoani, mzunguko wa watu na pesa upo,fursa za biashara ni nyingi ni mtaji wako tu....
Mimi
binafsi nilikua napenda sana biashara ya nguo za mtumba Rasta urembo etc...je Kwa pesa hyo naweza pata mzigo,au wanaojua zaidi nahitaji mtaji wa bei Gani
Mnaweza shauri pia biashara yoyote inayoweza fanyika ukizingatia na maelezo ya eneo niliyosema
Natumai Kuna watu wanatami kujifunza pia,tafadhali wiwa kutoa maoni yako
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
Sehemu nilipo ni mkoani, mzunguko wa watu na pesa upo,fursa za biashara ni nyingi ni mtaji wako tu....
Mimi
binafsi nilikua napenda sana biashara ya nguo za mtumba Rasta urembo etc...je Kwa pesa hyo naweza pata mzigo,au wanaojua zaidi nahitaji mtaji wa bei Gani
Mnaweza shauri pia biashara yoyote inayoweza fanyika ukizingatia na maelezo ya eneo niliyosema
Natumai Kuna watu wanatami kujifunza pia,tafadhali wiwa kutoa maoni yako
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app