username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
Sio run away , ni runwayKwa nini tu Run Away je tuki run away na bill itakaaje mazee
Mademu wapoMade Mademu wapo wa kutosha? Je kuna bei elekezi?
Karibu sanaNakuja
Karibu.Biashara ya bar ni wahudumu
Nitakuja kufanya survey
Sawa mkuu tangazo juu ya tangazo kama bado hujafunga cctv camera tunaweza fanya kazi kaka namba zangu 0753879122Karibuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani (mnadani).
Miongoni mwa huduma zetu ni hizi
1) Free WiFi
2) Vinywaji vya kila aina
3) Music
4) Shisha nk
Pia tuna karioke kila siku ya jumapili.
Karibui sana
Kwa maulizo 0746501050
Dah! SweetyCandy wiki ijayo kuna mtoko huku. Nataka twende kwenye hii Pub, ili tukale nyama choma, halafu tukanywe na kucheza Karaoke mpaka majogoo.Leo kuna karaoke
KaribuniDah! SweetyCandy wiki ijayo kuna mtoko huku. Nataka twende kwenye hii Pub, ili tukale nyama choma, halafu tukanywe na kucheza Karaoke mpaka majogoo.
NitakutafutaSawa mkuu tangazo juu ya tangazo kama bado hujafunga cctv camera tunaweza fanya kazi kaka namba zangu 0753879122
πNitakutafuta
Ipo kinyerezi mahakamani uliza Runway Pub karibu na Ikupa BakeryPicha mkuu? Ipo karibu na dawasa?