Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hapo wateja watakuwa wanakunywa mguu pande maana mkizidisha muziki ukasikika mahakamani mnazolewa waliokuwemo na wasiokuwemoKaribuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo wateja watakuwa wanakunywa mguu pande maana mkizidisha muziki ukasikika mahakamani mnazolewa waliokuwemo na wasiokuwemoKaribuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani
Weka picha mjombaKaribuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani (mnadani).
Miongoni mwa huduma zetu ni hizi
1) Free WiFi
2) Vinywaji vya kila aina
3) Music
4) Shisha nk
Pia tuna karioke kila siku ya jumapili.
Karibui sana
Kwa maulizo 0746501050
vinywaji vya kila aina = vinywaji vya aina mbalimbaliKaribuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani (mnadani).
Miongoni mwa huduma zetu ni hizi
1) Free WiFi
2) Vinywaji vya kila aina
3) Music
4) Shisha nk
Pia tuna karioke kila siku ya jumapili.
Karibui sana
Kwa maulizo 0746501050
Hapo polisi post iko jirani tu,full package.Ipo kinyerezi mahakamani uliza Runway Pub karibu na Ikupa Bakery