Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka usisahau balakonya bado yupo na atakuwepo katikati ya waalikwa na bisibisi lake lenye sumu kali inayokaba hewa
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]swadakta mkuu kwa kuwakumbusha maana wengine wanaweza mbali kabisa sio katika hili sayariKaka usisahau balakonya bado yupo na atakuwepo katikati ya waalikwa na bisibisi lake lenye sumu kali inayokaba hewa
Jr[emoji769]
ntafurahi nikivikuta vitakasa mikono nitasema..." send-off ilifana kweliii"
Yaani atakuwa amewatia aibu Prince na Baba yake, na sisi wacheza quwaito tutapata la kurudi kusimulia huku mitaaniVipi kama akibadili mawazo siku ya send-off...
Ngoja tuone, ila sisi wengine hata kwenye send-off party hatutaenda maana yule mwali ni mkorofi sana, hakawii kulianzisha katikati ya sherehe.Yaani atakuwa amewatia aibu Prince na Baba yake, na sisi wacheza quwaito tutapata la kurudi kusimulia huku mitaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawaelewi watu.....Kaka usisahau balakonya bado yupo na atakuwepo katikati ya waalikwa na bisibisi lake lenye sumu kali inayokaba hewa
Jr[emoji769]
Mkaidi HAFAIDI Mpaka siku ya IDD.... Ambayo ni wiki jayo
Tujiandae tu....Mkaidi HAFAIDI Mpaka siku ya IDD.... Ambayo ni wiki jayo
Jr[emoji769]