Karibuni Lesotho (Maseru) tufanye biashara

Karibuni Lesotho (Maseru) tufanye biashara

Kazi za Ulinzi,madereva na ile KONGWE zinapatikana kwa wingi hapa. Watu wamejenga bongo wasiliana na wakala wetu Lulu Dar es Salaam 0754559635
Mshahara ukoje?
Mkuu hebu funguka vzr Hizo ni habari njema...

Wadau karibuni tutumie fursa za biashara hapa mjini MASERU bidhaa za; Vitenge, Batik, mashuka ya kimasai na mfereji maringo maana kina dada toka Ethiopia, Arusha, kigali wamejaa hapa wanapiga kazi. KARIBUNI SANA
 
Ndugu mleta mada nyie ni mawakala wakutafutia watu kazi? hivi Tanzania ina ubalozi huko LETHOTO? hao jamaa wanaongea Lugha gani?
 
Back
Top Bottom