Karibuni Liwale

Liwale pa hovyo tu kufika kwenyewe tabu tu availability ya vitu ni shida mfano matunda nk nimekaa lindi wilaya zote liwale sijapaelewa afu inafata lindi town pia pa hovyo
 
Liwale pa hovyo tu kufika kwenyewe tabu tu availability ya vitu ni shida mfano matunda nk nimekaa lindi wilaya zote liwale sijapaelewa afu inafata lindi town pia pa hovyo

Mleta mada atakua analima ufuta huko,ila kimazingira ya kuishi ni tabulele
 
Liwale ni kwa kimasikini sana, miaka yote kupo isolated kama kisiwani vile...
 
Vipi liwale na Kilwa wapi nafuu?

Mimi natamani kuelekea Kilwa kwa ajili ya kulima

Sijawahi kufika Kilwa, lakini kwa jinsi ilibyo karibu na pwani sidhani kama inafaa kwa kilimo labda kama unataka kulima mihogo na mbaazi...
 
Sijawahi kufika Kilwa, lakini kwa jinsi ilibyo karibu na pwani sidhani kama inafaa kwa kilimo labda kama unataka kulima mihogo na mbaazi...
Nataka kulima miti dawa na inapenda ardhi kama ile ya Kilwa pia mashamba ni bei rahisi sana

Nimeshaenda mara kadhaa na nimepapenda ila watu wanasema kuna wachawi wengi sana Kilwa hata hivyo siogopi uchawi muda wowote mwaka huu naelekea hapo
 
Sijawahi kufika Kilwa, lakini kwa jinsi ilibyo karibu na pwani sidhani kama inafaa kwa kilimo labda kama unataka kulima mihogo na mbaazi...
Kilwa kubwa sana unayosema wewe ni kivinje na Masoko ila Kilwa inetanuka sana mpaka inafika selous na Kilwa inakuja mpaka lindi mpaka ni mto mbwemkuru sasa kwa upande wa magharibi ni kubwa mno na wana Lima sana
 
Liwale pa hovyo tu kufika kwenyewe tabu tu availability ya vitu ni shida mfano matunda nk nimekaa lindi wilaya zote liwale sijapaelewa afu inafata lindi town pia pa hovyo
Lindi tunaishi ila Duuh tunajikaza tu
 
Kilwa kubwa sana unayosema wewe ni kivinje na Masoko ila Kilwa inetanuka sana mpaka inafika selous na Kilwa inakuja mpaka lindi mpaka ni mto mbwemkuru sasa kwa upande wa magharibi ni kubwa mno na wana Lima sana
Basi napenda sana maeneo yaliyo karibu na mto
 
Sijawahi kufika Kilwa, lakini kwa jinsi ilibyo karibu na pwani sidhani kama inafaa kwa kilimo labda kama unataka kulima mihogo na mbaazi...
Kilwa ni wilaya kubwa sana huko pwani ni kisehemu kidogo sana, wasukuma wamejaa huku wanalima ufuta, ufuta haulimwi kwenye ardhi isiyo na rutuba,

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Zinga pakoje now.....mda kweli,sema uchawi sana kule

Kuna jamaa nilikuwa nalimanae ufuta alikuwa jiran yangu alipanda bangi kuzunguka ghetto lake...eti kinga ya uchawi
 
How old will you be 50 years to come.
It's a personal issue I can't tell you here publicly

Mimi nataka kununua mashamba kwa ajili yangu, watoto wangu na wajukuu zangu and 50 years to come I'll still be able to marry a 40 or 50 years woman without any problem
 
It's a personal issue I can't tell you here publicly

Mimi nataka kununua mashamba kwa ajili yangu, watoto wangu na wajukuu zangu and 50 years to come I'll still be able to marry a 40 or 50 years woman without any problem
Only if you are 27 right now.
All the best.
 
Only if you are 27 right now.
All the best.
It's not possible for me to tell you how old I'm

I usually plan things for 100 years to come and success is not all about me only, it's for generations and generations to come
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…