Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Nliwahi sema UCHUMBI badala ya UCHUMI kwenye kubushana siasa.. Hadi ubishi uliisha kwa wote wakabaki kucheka
Moshi kuna eya=moshi kuna ela[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Asikuambie mtu michapio mitamu n ya kirugha kwa kiswahili, Tuliosoma mikoani usiombee msambaa achanganye kiswahili na kisambaa, asee n burdan kinyamaa