Karibuni mnitakie siku njema ya kuzaliwa

CONGRATULATIONS,UR NO LONGER A TEENAGER
 
Mungu akujaali miaka mingi na kheri duniani.
 
Uutafute kwanza ufalme wa Mungu na vingine utaongezewa, happy birthday mdogo wetu.
 
Uutafute kwanza ufalme wa Mungu na vingine utaongezewa, happy birthday mdogo wetu.
Ahsante sana kaka mkubwa, Kama ndege wa angani hawapandi wala hawavuni, Je sisi so zaidi ya hao?
Uwe na siku njema.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…