Karibuni Namibia itakuwa kama Kenya, Sudan, Nigeria, South Africa, DRC, Somalia, Ethiopia n.k

Karibuni Namibia itakuwa kama Kenya, Sudan, Nigeria, South Africa, DRC, Somalia, Ethiopia n.k

and 100 others

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2023
Posts
3,707
Reaction score
12,367
Hizo nchi inajulikana wananchi wao hawaogopi vyombo vya usalama, wapo tayari kupambana hata na wanajeshi au polisi pale wanapoona hawatendewi haki.

Kenya tumetoka shuhudia juzi hapa vijana wadogo wanaingia bungeni na kuchoma bunge.

Nilichogundua kumbe serikali nyingi za Africa ndizo chanzo cha kupelekea nchi hizo kutokuwepo na amani.

Kuanzia Kaskazini mwa bara Africa Egypt , Tunisia, Libya n.k magharibi Nigeria, Africa ya kati n.k hadi kusini Kenya n.k na wao walikuwa kama wananchi wa Namibia wapole, wanaheshimu vyombo vya dola, wanaogopa silaha za moto, vyombo vya dola vikadhani vinaogopwa, wakajiona miungu, wakajikuta wanaweza kufanya chochote kwa kukamata watu mchana kuwateka na kwenda kuwaua.

Kilichofuatia hakuna aliyeamini. Ukiona mtu mtaratibu mpole usifikiri unaweza mchokoza na kumpiga muda wote , ujue na yeye ana kikomo chake cha uvumilivu.

Kumbe hizo nchi watawala walijisahau wakidhani wanaogopwa matokeo yake ni machafuko makubwa.

Namibia ikiendelea na huu mtindo wa maisha kutokujali uhai na usalama wa raia na mali zao, kuwateka mchana kweupe na wakihoji viongozi wanatoa majibu ya kejeli, dharau na kutokujali, mi nasema Namibia itafika mnapopataka. Na ikifika huko itakuwa mmechelewa.

Nimeona watu kwenye social media wakianza kujadili ni silaha gani za kutembea nazo kwa sasa, hii si ishara nzuri.

Kama kuna waliofahamu na kufuatilia machafuko ya Tunisia, yaliyopelekea machafuko Egypt na hadi Libya, aliyeanzisha ni Mohamed Bouaziz, machinga wa mtaani, jamaa alijichoma moto kutokana na kusumbuliwa na kudhalilishwa na police kutoka udogoni mwake, kijana mwenye miaka 26, kitendo kilichopelekea machafuko yaliyopelekea mapinduzi nchini Tunisia na nchi zingine za kiarabu.

Hii ilipelekea rais wa Tunisia kutoka madarakani baada ya miaka 23 kwenye uongozi.

Hawa viongozi kuna muda huwa wanajisahau wanajikuta ni miungu.
 
African continent is a dark casket. People living inside it are dead yet they don't realize this.

Tolerating this kind of nonsense for a period of 60 years is no difference to being a putrid cadaver.

Ila ipo siku nasema.​
 
Namibia ni nchi safi sana tatizo kubwa ni kile kisiwa kilicho baharini wacho jiunga nacho ndio kinapeleka majambazi yanayoenda kuuwa wanamibia huku yakilindwa na sheria.
Kwa ushauri wangu wavunje ule muungano na wale watu wakisiwani wote wafurushwe
 
Azania haiwezi kutokea kitu kama icho naweka Millioni1 mezani.
Kila mtu anajali yumbo lake, uwoga mwingi, media zime base upande mmoja, polisi hawana elimu kama freedom of speech na right to demonstrate ( ndo maan wa kenya wakiandaman umuoni polisi akimpiga mtu), uchawa umezidi. Vijana ni umbea tu na U simba na UYanga
 
Mkifanikiwa kwenye hili dogo basi ilo kubwa mtaweza
 
Hizo nchi inajulikana wananchi wao hawaogopi vyombo vya usalama, wapo tayari kupambana hata na wanajeshi au polisi pale wanapoona hawatendewi haki.

Kenya tumetoka shuhudia juzi hapa vijana wadogo wanaingia bungeni na kuchoma bunge.

Nilichogundua kumbe serikali nyingi za Africa ndizo chanzo cha kupelekea nchi hizo kutokuwepo na amani.

Kuanzia Kaskazini mwa bara Africa Egypt , Tunisia, Libya n.k magharibi Nigeria, Africa ya kati n.k hadi kusini Kenya n.k na wao walikuwa kama wananchi wa Namibia wapole, wanaheshimu vyombo vya dola, wanaogopa silaha za moto, vyombo vya dola vikadhani vinaogopwa, wakajiona miungu, wakajikuta wanaweza kufanya chochote kwa kukamata watu mchana kuwateka na kwenda kuwaua.

Kilichofuatia hakuna aliyeamini. Ukiona mtu mtaratibu mpole usifikiri unaweza mchokoza na kumpiga muda wote , ujue na yeye ana kikomo chake cha uvumilivu.

Kumbe hizo nchi watawala walijisahau wakidhani wanaogopwa matokeo yake ni machafuko makubwa.

Namibia ikiendelea na huu mtindo wa maisha kutokujali uhai na usalama wa raia na mali zao, kuwateka mchana kweupe na wakihoji viongozi wanatoa majibu ya kejeli, dharau na kutokujali, mi nasema Namibia itafika mnapopataka. Na ikifika huko itakuwa mmechelewa.

Nimeona watu kwenye social media wakianza kujadili ni silaha gani za kutembea nazo kwa sasa, hii si ishara nzuri.

Kama kuna waliofahamu na kufuatilia machafuko ya Tunisia, yaliyopelekea machafuko Egypt na hadi Libya, aliyeanzisha ni Mohamed Bouaziz, machinga wa mtaani, jamaa alijichoma moto kutokana na kusumbuliwa na kudhalilishwa na police kutoka udogoni mwake, kijana mwenye miaka 26, kitendo kilichopelekea machafuko yaliyopelekea mapinduzi nchini Tunisia na nchi zingine za kiarabu.

Hii ilipelekea rais wa Tunisia kutoka madarakani baada ya miaka 23 kwenye uongozi.

Hawa viongozi kuna muda huwa wanajisahau wanajikuta ni miungu.
Tatizo la Namibia ni udalali

Kuna shida kubwa kwa malienge
 
Tanzania haiwezi kutokea kitu kama icho naweka Millioni1 mezani.
Kila mtu anajali yumbo lake, uwoga mwingi, media zime base upande mmoja, polisi hawana elimu kama freedom of speech na right to demonstrate ( ndo maan wa kenya wakiandaman umuoni polisi akimpiga mtu), uchawa umezidi. Vijana ni umbea tu na U simba na UYanga
Milioni moja?
 
Siku pakinuka pale hakuna jirani mmoja atakayemsaidia
Na kwa jinsi wanavyomtamani!
watagawana kale ka ardhi atabaki Agwue tu.
 
Back
Top Bottom