Mjisikie mko nyumbani,Kenya ni ndugu zetu wa karibu sana.
Tunawakaribisha na kuwapa fursa ya kujipigia Yanga. Mashabiki wenu tupo tutakuja kwa wingi kutia hamasa. Ili msivuruge amani ya nchi kwa simanzi,basi pigeni Yanga goli 2 tu.
Mungu ibariki Kariobangi Sharks katika mchezo wa leo