Karibuni tena leo katika mchezo wa kuigiza soka kati ya Yanga na Geita Gold

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Tayari script imeshaandikwa na leo tutashuhudia watu wako location kutoa kipande kingine cha dakika tisini,starring akiwa anajulikana.Na akifa atafia kwenye maua.

Mashindano makubwa hasa kwa starring wetu ni kutaka kudumisha historia ya hapa nchini. Huko nje ni vigumu kwa sababu kule soka halisi linachezwa na siyo maigizo. Ndiyo maana tunafahamu kuwa starring hana historia nzuri huko kwenye mpira halisi.

Kila la heri kwa waigizaji wetu wa leo. Ila nauona mwisho mbaya wa Geita kwa kuwa imeacha kucheza soka na kuanza kudanga.
 
Tayari script imeshaandikwa na leo tutashuhudia watu wako location kutoa kipande kingine cha dakika tisini,starring akiwa anajulikana.Na akifa atafia kwenye maua...
Kwanza Geita hachezi leo. La pili nikuulize jana nyie mlifanya maigizo ya kibiashara? Yaani kushinda mshinde nyie tu wakishinda wengine basi mipango. Katika msimu ambao mmekuwa mnaweweseka kupita kiasi ni huu. Yaani hamna raha kabisa dhidi ya mpinzani wenu
 
Tayari script imeshaandikwa na leo tutashuhudia watu wako location kutoa kipande kingine cha dakika tisini,starring akiwa anajulikana.Na akifa atafia kwenye maua...
Hii Tabia ya kijinga mashabiki wa Simba iacheni mara moja vinginevyo Mods mfanye kinachostahili. Simba imecheza Jana na mpira umeonekana aliyestahili kushinda kashinda, lakini wenzenu wakishinda mnaleta maneno ya kitoto utafikiri JF wamejaa chekechea. Tunaipenda Simba lakini kuwa na mashabiki wa Aina yako ni uchuro.
 
Takataka kwenye ubora wake, utateseka sana wewe msimu huu, stress +wivu vitakuua mpaka pale mtakapokubali kuwa uyo starring unayemsema yuko kwenye ubora wake amekuzidi kila eneo kuanzia kwenye takwimu mpaka aina ya vifaa anavyotumia kuifanya kazi yake vina ubora wa hali ya juu ukilinganisha na vya kwako, kwaiyo mkiendelea kushupaza shingo kuna siku itavunjika kwa maana ukweli mnaujua lakini mnakufa na tai shingoni pole yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…