Karibuni tujadili kuhusu Leseni ya Udereva

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
631
Reaction score
592
Ndugu zangu naomba tujadili umuhimu wa kuwa na driving licence kwa watu ambao wanamiliki gari binafsi na zisizo za kibiashara.

Je, kwanini isiwe kwa madereva wanaoendesha gari za biashara kama mabus, maloli, tax na wale ambao wataomba kazi za udereva kwenye taasisi mbali mbali?

Nini faida ya mimi kuwa na driving licence, Je nikisoma driving school kujua sheria za barabarani haitoshi?

Tujadili
 
Kama unajua sheria, driving licence ya nini ina msaada gani? Mbona kuna uhakiki wa vyeti? Nimeuliza kwa watu binafsi wasio waajiliwa kwa fani ya udereva
 
Kwanza unatakiwa kujua maana ya hiyo driving lecence na umuhimu wa kua nayo pia sio hapa tu kwenye nchi ya dunia ya 7, mpaka dunia ya kwanza huko lazima uwe na driving lecence, na kuna vyombo hata uwe na hiyo lecence pia hutoendesha mpaka uwe na kibali maalum na sio hiyo leseni peke yake mf: supercars/ racing car

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…