Karibuni tujifunze: Question tags

Karibuni tujifunze: Question tags

Hapa shilole palikuwa panamuhusu.ucheben't he?..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safi sana.

The bus stop's over there.
She's Italian.
They live in London.
We're working tomorrow.
It was cold yesterday...
Mkuu ,mi umenikumbusha mbali kidogo kipindi hicho, zilikua zinanigonga hizi Q tag kinoma ahahaha,duuh maisha yasonge tu,ila watoto wetu wamerahisishiwa sana mambo haya.
 
Mkuu ,mi umenikumbusha mbali kidogo kipindi hicho ,zilikua zinanigonga hizi Q tag kinoma ahahaha,duuh maisha yasonge tu,ila watoto wetu wamerahisishiwa sana mambo haya.
Sasa hivi hawasomi haya mambo?
 
Asante sana uu ugonjwa was watu wengi, watu wengig sana hawajui kutengeneza question tags wengi sana tena wengine wasomi kabisa uwa nasikia napotezea.
Ni kweli kabisa, Jana nimemsikia msomi katumia question tag nilishtuka kidogo maana aliongea kitu ambacho hakiendani. Nikapata wazo kwa nini tusijifunze kuhusu hizi, ndipo nikaamua kuja na hii maada.
 
Back
Top Bottom