Karibuni tujuzane kuhusu BMW 3 Series

Habari naomba kupata mawasiliano ya fundi wa ac wa benz c class 180, AC imenisumbua fundi akasema compressor imekufa tukabidili nilvyosafiri kuja Moshi. Hali ikaanza Tena AC inatoaa joto tu...naombeni msaada
 
Mimi nashangaa watu kukataa Bmw kama series 3 m3 sport 320i mbona affordable tuu mfano unazingatia service huna mizunguko mingi, rough road unaenda mdogomdogo shida ikwapi
 
Mimi nashangaa watu kukataa Bmw kama series 3 m3 sport 320i mbona affordable tuu mfano unazingatia service huna mizunguko mingi, rough road unaenda mdogomdogo shida ikwapi
1. Unachanganya M-3 na M-Sport.
2. Kama unaongelea E90 (2005 hadi 2013) nashauri 6 cylinders, yenye N52 engine, (323i kuja juu) kama 4 cylinders ukipata diesel (ngumu sana kupata)
3. Kwenye service upo sahihi.

Unajua kwanini watu wanasema kumiliki ni ngumu, sio issue ya reliability, ni issue ya cost of ownership.

Nenda kwa Azizi Umeme, badirisha oil ya 323i ya 2007 afu mwingine aende Total na Crown ya 2007 abadirishe oil, au nunua plugs zote 6, au nunua coils zote 6.
 

hii gari ni moja kati ya gari za bei rahisi sana hata ukitafuta mtandaoni, one of the cheapest car to buy but is very expensive to maintain it.

Hizi gari hata mjerumani mwenyewe anaziogopa mjapani anaziogopa anauza bei ya kutupa aepukane na mabalaa yake. FOB ya gari ni dola 800, bei ya kuifikisha bongo ni dola 2500. bei ya hiii gari ni sawa na bei ya iphone 14 used ...

Ukipiga safari ya Posta mpaka vikindu na hii gari lazima taa ya check engine iwake. Ghaaiiii sheeeeeilaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…