Karibuni tusemezane lugha za asili

Karibuni tusemezane lugha za asili

Habari za jumapili waungwana,bila shaka mpo salama..siku kadhaaa nyuma nilikutana na Jamaa umri kama wangu..anazungumza kisukuma hadi raha..nikajisikia wivu..wazazi wangu wamezaliwa mjini,nimezaliwa mjini..wao Ni wahee..but sijui kabisa kuongea...so karibuni Kila mtu azungumze lugha yake ya asili..naanza KAMWENE??
Saga tukonzishe wane
 
Airoroki indayi pookin lootii aatua Jf. Entasuvai Endoye oo Lewak le jf.

2.Kwa sindeare ndo wakwa wa Jf?
 
Back
Top Bottom