Nasema hivi huyu demu ni wakwangu eee,Oyaaa....
Nikinywa maji nakuona kwenye glasi,
Nikiwa nakula nakuona kwenye bakuli la mchuzi wa mboga
Weee mremboo weeee
Kali hiiiMchumba nipapase, ila waleti yangu usiguse.../
Alipojarb kunielezeaa..alitia hurumaJamila analia bwana yake amemuacha
Jamila analia bwana yake amemtupa.
[emoji3][emoji3]
Namsubiria mdada atakayecomment wa kwanza nianze naye.
Marahaba...shikamoo dada.
This is Jakaya Kikwete favourite song, he said it in one of his birthday!I have been sitting here so long
Wasting time, just starring at the phone
And I was wondering should I call you
Then I thought maybe you are not alone
Please give me one more night
PHIL COLLINS
Marlaw wakati akiwa sawa. Saa hii kile kiuno cha Besta kikimkatikia tu, mashairi yote yanahamaBado umenuna (bado umenuna)
Na hucheki tena (ooh oh oh)
Najuta naogopa (najuta naogopa)
Roho inaniuuuma (braa bra bra bra bra)
Kosa ni kosa (jyeah ah)
Ukishakosa tena (si si si si si)
Naomba samahani (ah ah ah ah ah)
Mtoto mzuri sana (ooh)
#daaah maisha yanaenda kasi sana