Karibuni tutongozane kwa mashairi ya nyimbo hasa za mapenzi

Karibuni tutongozane kwa mashairi ya nyimbo hasa za mapenzi

Tell me how I'm supposed to breathe with no air?


If I should die before I wake
It's 'cause you took my breath away
Losing you is like living in a world with no air.
 
Sakayo

Jua kwamba wewe ndio wangu
Baridi ya roho 'seisha na hamu
Sura yako dawa kwangu
Raha za pungu' kando zangu
Mahaba yako ndio tiba yangu
Nyota yako yang'ara yangu
Hebu tathmini kisha nipe jibu
'Vi kwanini hutaki kunijibu
Mitihani yote nimeshinda
Nadhani ni wakati
Penzi letu sisi liwe wazi
Roho yangu inauma
Maumivu sasa basi
Sasa basiiiii
Ni kwa thabiti nielewe
Pesa sio mapenzi...
Pesa sio mapenzi...
Kwa utenzi huu
Nielewe baby
Nakuhitaji mpenzi
Wewe nd'o faraja yangu
Wewe nd'o faraja yangu
Faraja yangu
You are my baby...
Jua kwamba wewe ndio wangu (oohhh...)
Baridi ya roho 'seisha na hamu (faraja yangu)
Sura yako (yako) dawa kwangu (kwangu mimi)
Raha za pungu' kando zangu (nd'o zangu)
Mahaba yako ndio tiba yangu (tiba yangu ti.)
Nyota yako (ehh.) yang'ara yangu (Kwangu mimi)
Kama tamaduni zetu ni moja
Twende nyumbani ukamsabahi mama
Tupate baraka za wazazi
Na uwajue ndugu zangu
Dini zetu isiwe kama hoja
Pingamizi sintozingoja
Niko tayari kukuvisha pete
Uwe wangu...

Sakayo na Inna mapenzi yanauma eeh nna moyo sio chuma eeh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo tayari kuanza mtongozo kwa like ya kwanza, nazama piemuni fasta sitaki ujinga kabisa...
 
Nzi kidonda nimefia
Wahenga walisema
Maradhi yaweza yasiwe dawa
Kwa penzi yakapona
Rabii amenipa nusura
Jeuri Sina Tena

Wewe ndiyo ganzi umenimaliza hasira
Siumii wakisema
Nidekeze niliwaze
Washushuke wanyamaze
Nikune nibembeleze
Usinipepee nipulize
Watuone washtuke
Roho zao ziwaume
Mimi nipike ule chote
Unenepe upendeze
Nifanye nini ili unielewe
Nifanye nini usiniletee mapozi
Nifanye nini ili unielewe
Au majumba ya kifahari
Au mchumba unataka ferari ?
 
Zoë upo tayari mimi kuzama piemuni? Lakini wewe mdogo wangu sasa inakuwaje?😋😋
 
To love you more by Celine Dion

Take me back in the arms I love
Need me like you did before
Touch me once again
And remember when
There was no one that you wanted more

Don't go you know you'll break my heart
She won't love you like I will
I'm the one who'll stay
When she walks away
And you know I'll be standing here still
I'll be waiting for you

Here inside my heart
I'm the one who wants to love you more
You will see I can give you
Everything you need
Let me be the one to love you more
See me as if you never knew
Hold me so you can't let go
Just believe in me
I will make you see
All the things that your heart needs to know

.......
Bonge la ngoma

Its not over until its over...[emoji769]
 
Back
Top Bottom