miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Salama mkuu ,za kwako wewe?Hello
Za masiku
Wazee wa siku hizi si ndiyo hawa hawa mnawamendea rafiki zake mtoto wako.Hivi unajua kuna madingi na mamaza wa hao watoto wapo pia hapa hapa JF na jukwaa hili hili...
Yaani kabisa mtu mzima uanze kuhangaika kuzurura katika vyuo kutafuta le michuchuz...Wazee wa siku hizi si ndiyo hawa hawa mnawamendea rafiki zake mtoto wako.
Nzuri mkuu, tulikumisi.Salama mkuu ,za kwako wewe?
🤣🤣🤣🤣miss chaga nimechekaaaa🤣🤣🤣🤣🤣Nimekusave
Inaumaa sana jamani!Hivi unajua kuna madingi na mamaza wa hao watoto wapo pia hapa hapa JF na jukwaa hili hili...
Na iwe hivyo!Mungu atakubariki watoto wa kike wanne
Ndo utajua uchungu wa kuharibu binti zetu !
Sisi huku tumeshawabikili nyie kuleni vya jalalaniLeo nilikuwa chuo pale, ndo natoka hapa sasa. Jaman masela kuna vyombo vipya 1st Year vimemwagwa kila type. Ipo kazi kwenu mabaharia. Watoto bado wanaonekana wabichi kabisa, mnato utakwepo msije lalama sikusema nimewambia mapema kabisa, kuanzia J3 vyombo vyote na vya mkoa vitakua in da building.
Mimi nimeopoa kimoja tayari wakuu baada ya kumfata na kustory naye akanambia katokea Tanga na Dar ndugu zake wapo mbali sana na chuo, yeye kafikia lodge. Nikapatwa na huruma ndiyo kumwambia twende kwangu kuna chumba cha ziada atakuwa anakaa mpaka atakapoanza chuo rasmi akakubali. Ndiyo nipo naye hapa tunaelekea kwangu mapema akapumzike mtoto wa watu.
Wanaume wa mikoani poleni sana, kama demu wako kaja chuo huku hesabu maumivu tayari huna demu. Mademu zenu wakija huku ni wetu. J3 tukutane Mlimani.
Na iwe hivyo!
Sisi huku tumeshawabikili nyie kuleni vya jalalani
Mabaharia wote na vijana barobaro hapo kuna "kontena " toka WAMA, hao watoto wa kiume na kike wana ugonjwa wa UKIMWI, wanasomeshwa kwa msaada wa watu wa MAREKANI.Leo nilikuwa chuo pale, ndo natoka hapa sasa. Jaman masela kuna vyombo vipya 1st Year vimemwagwa kila type. Ipo kazi kwenu mabaharia. Watoto bado wanaonekana wabichi kabisa, mnato utakwepo msije lalama sikusema nimewambia mapema kabisa, kuanzia J3 vyombo vyote na vya mkoa vitakua in da building.
Mimi nimeopoa kimoja tayari wakuu baada ya kumfata na kustory naye akanambia katokea Tanga na Dar ndugu zake wapo mbali sana na chuo, yeye kafikia lodge. Nikapatwa na huruma ndiyo kumwambia twende kwangu kuna chumba cha ziada atakuwa anakaa mpaka atakapoanza chuo rasmi akakubali. Ndiyo nipo naye hapa tunaelekea kwangu mapema akapumzike mtoto wa watu.
Wanaume wa mikoani poleni sana, kama demu wako kaja chuo huku hesabu maumivu tayari huna demu. Mademu zenu wakija huku ni wetu. J3 tukutane Mlimani.
Nzuri mkuu, tulikumisi.
Nikaona umepotea....nkasema ahadi yangu uliniahidi sasa itakuwaje? Kumbe upo.
Sidhani ila kama unakumbuka, uliniahidi nini.Nimerudi mkuu
KheeSidhani ila kama unakumbuka, uliniahidi nini.
Na iwe hivyo!
Ulichukua bag ukaondoka nalo jamani dadaAmeen!!!
Ulichukua bag ukaondoka nalo jamani dada