Karibuni UDSM makontena mapya yameanza mwagika

Karibuni UDSM makontena mapya yameanza mwagika

Leo nilikuwa chuo pale, ndo natoka hapa sasa. Jaman masela kuna vyombo vipya 1st Year vimemwagwa kila type. Ipo kazi kwenu mabaharia. Watoto bado wanaonekana wabichi kabisa, mnato utakwepo msije lalama sikusema nimewambia mapema kabisa, kuanzia J3 vyombo vyote na vya mkoa vitakua in da building.

Mimi nimeopoa kimoja tayari wakuu baada ya kumfata na kustory naye akanambia katokea Tanga na Dar ndugu zake wapo mbali sana na chuo, yeye kafikia lodge. Nikapatwa na huruma ndiyo kumwambia twende kwangu kuna chumba cha ziada atakuwa anakaa mpaka atakapoanza chuo rasmi akakubali. Ndiyo nipo naye hapa tunaelekea kwangu mapema akapumzike mtoto wa watu.

Wanaume wa mikoani poleni sana, kama demu wako kaja chuo huku hesabu maumivu tayari huna demu. Mademu zenu wakija huku ni wetu. J3 tukutane Mlimani.
Sisi huku tumeshawabikili nyie kuleni vya jalalani
 
Waheshimuni ni kuwajali wadogo zenu hata kama hamjazaliwa tumbo moja.
 
Leo nilikuwa chuo pale, ndo natoka hapa sasa. Jaman masela kuna vyombo vipya 1st Year vimemwagwa kila type. Ipo kazi kwenu mabaharia. Watoto bado wanaonekana wabichi kabisa, mnato utakwepo msije lalama sikusema nimewambia mapema kabisa, kuanzia J3 vyombo vyote na vya mkoa vitakua in da building.

Mimi nimeopoa kimoja tayari wakuu baada ya kumfata na kustory naye akanambia katokea Tanga na Dar ndugu zake wapo mbali sana na chuo, yeye kafikia lodge. Nikapatwa na huruma ndiyo kumwambia twende kwangu kuna chumba cha ziada atakuwa anakaa mpaka atakapoanza chuo rasmi akakubali. Ndiyo nipo naye hapa tunaelekea kwangu mapema akapumzike mtoto wa watu.

Wanaume wa mikoani poleni sana, kama demu wako kaja chuo huku hesabu maumivu tayari huna demu. Mademu zenu wakija huku ni wetu. J3 tukutane Mlimani.
Mabaharia wote na vijana barobaro hapo kuna "kontena " toka WAMA, hao watoto wa kiume na kike wana ugonjwa wa UKIMWI, wanasomeshwa kwa msaada wa watu wa MAREKANI.

Wanatumia ARVs na wamenenepa kweli kweli, ganyaga unase.
Tusije kulaumiana baadae, kama umempenda mtu, peleka posa kwao, subiri amalize chuo, umuoe kwa hesham zake, haso ndio waasomi tunao wategemea.
 
Mdogo wangu wewe ulianbiwa akayafate tena mawili ngozi original kabisaaaaa ukaingia mitini.
Hutaki maendeleo yetu weye.
Ulichukua bag ukaondoka nalo jamani dada
 
Back
Top Bottom