stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mawazo ya nini hapo malizia hizo dot 2 wengine tumezoom lakini hakuoni kituOoo kumbe mi kilaji ndo kinaniondoleaga mawazo ya ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya nini hapo malizia hizo dot 2 wengine tumezoom lakini hakuoni kituOoo kumbe mi kilaji ndo kinaniondoleaga mawazo ya ..
Dah kwan ht naelewa basi 😎Unasikitika Nini mbaga?
Duh kumbe watu walirusha scudJuma jamaldin Akukweti..
Huyu alikuwa Waziri wa Kwanza katika Serikali ya awamu ya nne kufariki dunia. Mazingira ya kifo chake yamebaki tata mpaka leo.
Je, ni kweli alipigwa 'kimbora' na Wana Mbeya? Ukweli upoje kwa yale maneno aliyoyatoa pale sokoni? Je, ni kweli yalikuwa na kejeli kwa wanasoko wale?
Kimbora = kupigwa urogozeo kurogwa mpaka kurogekaJuma jamaldin Akukweti..
Huyu alikuwa Waziri wa Kwanza katika Serikali ya awamu ya nne kufariki dunia. Mazingira ya kifo chake yamebaki tata mpaka leo.
Je, ni kweli alipigwa 'kimbora' na Wana Mbeya? Ukweli upoje kwa yale maneno aliyoyatoa pale sokoni? Je, ni kweli yalikuwa na kejeli kwa wanasoko wale?
walipima wakakuta mwepesi watu wakatuma telegram. watoto wadogo watawaza telegram appJuma jamaldin Akukweti..
Huyu alikuwa Waziri wa Kwanza katika Serikali ya awamu ya nne kufariki dunia. Mazingira ya kifo chake yamebaki tata mpaka leo.
Je, ni kweli alipigwa 'kimbora' na Wana Mbeya? Ukweli upoje kwa yale maneno aliyoyatoa pale sokoni? Je, ni kweli yalikuwa na kejeli kwa wanasoko wale?
So unasikitika Kwanza, halafu sababu ya kusikitika utaijuaga baadae 😂😂😂Dah kwan ht naelewa basi 😎
huyo bwana mimi hua katika watu humu wananichekesha 😂So unasikitika Kwanza, halafu sababu ya kusikitika utaijuaga baadae 😂😂😂
Kuna taarifa ipo Jikoni huko Jamaa wanatuwekea code tu Ila Muda utaongea hivi ni kweli?Duh kumbe watu walirusha scud
Masahani mkuu!! Wewe ni mhaya?I'm driving, it is not that far.
Niliacha kunywa pombe tu tangu champagne ya New Year Eve's party ya mwaka huu.
Si ndiooooo 😂So unasikitika Kwanza, halafu sababu ya kusikitika utaijuaga baadae 😂😂😂
Imekuaje kwani?Kum.....lam..mako
Kunywa maji mengi na uhakikishe ni masafi na salama upunguze kisirani 😂Kum.....lam..mako
Dah nimelia sana 😭huyo bwana mimi hua katika watu humu wananichekesha 😂
Telegram =gizagiza mambo meusi pilau la Pasaka unageuzwa Mbuzi wa kitoweo cha wageniwalipima wakakuta mwepesi watu wakatuma telegram. watoto wadogo watawaza telegram app
😂33 people are here wanasubir mwamba urabu umzidi atoe lock avujishe siri
Inasikitisha sana mkuuОнлайн с набережной Цесаревича снимаю для вас😻 «С Днем Молодежной столицы»!!! 💙Владивосток
View attachment 3053087
Je Kuna umuhimu wowote wa kuanza kulia au nisikitike tu Kama wewe😂Si ndiooooo 😂