Karibuni Vodka baridiii hapa Moscow!

Juma jamaldin Akukweti..
Huyu alikuwa Waziri wa Kwanza katika Serikali ya awamu ya nne kufariki dunia. Mazingira ya kifo chake yamebaki tata mpaka leo.

Je, ni kweli alipigwa 'kimbora' na Wana Mbeya? Ukweli upoje kwa yale maneno aliyoyatoa pale sokoni? Je, ni kweli yalikuwa na kejeli kwa wanasoko wale?
 
Duh kumbe watu walirusha scud
 
Kimbora = kupigwa urogozeo kurogwa mpaka kurogeka
 
walipima wakakuta mwepesi watu wakatuma telegram. watoto wadogo watawaza telegram app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…